Mmenicheza mchezo na nkamu wenu!! 😌😌😌mniongeleshe ongeleshe hadi mimekosaSi uliona wenzio tulikuwa hatuongei![]()
Mmenicheza mchezo na nkamu wenu!! 😌😌😌mniongeleshe ongeleshe hadi mimekosaSi uliona wenzio tulikuwa hatuongei![]()
Mmh hapa hapanaSubiri kesho tunaweka 10 tuone napo 😂😂😂😂 kama na kwenye kumi napo hutopata hata moja basi kutakuwa na namna
Acha na mimi ni selfike, King asante. View attachment 2256123
Afu ungeweza kupata kabisa, ni vile tu ulishajikatia tamaa. Mimi nyingine nilifanya kubahatisha tu after mtandao kuwa umenizingua, lakini nikakuta haijaingizwaAah nishapitwa
Inaitwa focusMmenicheza mchezo na nkamu wenu!!mniongeleshe ongeleshe hadi mimekosa




Okay dear
Subiri kesho tunaweka 10 tuone napo 😂😂😂😂 kama na kwenye kumi napo hutopata hata moja basi kutakuwa na namna
😂😂😂 ufikishe bundle la 50k kwa mwezi itapendeza 😂😂Mama yangu. Nitawasha hadi devices za kina junia, niambulie hata moja tu😂😂😂
Manyoyaaaaaaaaa






!! !!! Sina la kusema niufyante tu!!Thubutuuuu!! kwa speed za huyo jirani yako na madame Hanahata mwenye mwendo wa kobe atapata hata moja




! Nilijua tu siwezi ambulia kitu hapa!Hamna mkemia, unajua ni vile tu ushaona huwezi. Mimi hadi niingize vocha ya kwanza, ya pili; wewe hujakamilisha tu ya kwako moja? Na ukifanikiwa tu moja, speed inakujaThubutuuuu!! kwa huyo jirani yako na madame Hannah! Nilijua tu siwezi ambulia kitu hapa!
😂😂😂 wametisha sana wana zawadi zao special kwa mwendo waoThubutuuuu!! kwa huyo jirani yako na madame Hannah! Nilijua tu siwezi ambulia kitu hapa!
Tehtehtehhhhh!!! Huyu ana mpango na jirani yake huyu asubuhi amemwita na saivi tena kamwita na speed yake ya cheetah🤣🤣🤣🤣Thubutuuuu!! kwa speed za huyo jirani yako na madame Hana! Nilijua tu siwezi ambulia kitu hapa!
Sina picha mpya yaaniTubaliki na selfie mrembo..
Nyie nyie cheetas speed mnazijua nyie hHaha!!Hamna mkemia, unajua ni vile tu ushaona huwezi. Mimi hadi niingize vocha ya kwanza, ya pili; wewe hujakamilisha tu ya kwako moja? Na ukifanikiwa tu moja, speed inakuja
Hamna mkemia, unajua ni vile tu ushaona huwezi. Mimi hadi niingize vocha ya kwanza, ya pili; wewe hujakamilisha tu ya kwako moja? Na ukifanikiwa tu moja, speed inakuja





! Mie hata kuwepo sikuwepo sasa nilikua bize kidogo kurudi haaah!!! ManyoyaaaaaaaaaPale Mjep ananiongelesha kimoyomoyo nasema "nkamu ntakujibu baadaye nipo busy na-refresh page"😂😂😂Nyie nyie cheetas speed mnazijua nyie hHaha!!
Next time itakuwa bahati yako! Mie hata kuwepo sikuwepo sasa nilikua bize kidogo kurudi haaah!!! Manyoyaaaaaaaaa