Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Kesho tunaweka 10 mwendo wako tu wa focus 😂😂😂! Mie hata kuwepo sikuwepo sasa nilikua bize kidogo kurudi haaah!!! Manyoyaaaaaaaaa
Kesho tunaweka 10 mwendo wako tu wa focus 😂😂😂! Mie hata kuwepo sikuwepo sasa nilikua bize kidogo kurudi haaah!!! Manyoyaaaaaaaaa
Kesho 10, alafu jumapili jioni final tunatupia 20 ... nahisi hata kinyonga atapataNext time itakuwa bahati yako
Utatuua. Maana hatotupika busy kurefresh pageKesho 10, alafu jumapili jioni finali tunatupia 20 ... nahidi hata kinyonga atapata
Tutaziweka baada ya mapishi ya jioni 😂😂😂Utatuua. Maana hatotupika busy kurefresh page
Kabla hawajaniroga nikapungua mwili.View attachment 2256294

Ila mama upo vizuri, unafanyaje unifundishe 3 kwa mpigo ni noma sanaUtatuua. Maana hatotupika busy kurefresh page

1. Uwe na simu/devices zaidi ya mojaIla mama upo vizuri, unafanyaje unifundishe 3 kwa mpigo ni noma sana![]()
Kabisaaa hapana chezea uchawi wa mama pasta!!Nimeamini uchawi upo eti vocha zote zimenipita au huwa mnapigiana simu huko pm kwamba naweka wahi basi nikitoka online mtu anaweka Vocha![]()
Nawe hujapata mpendwa 😁😁weekend hii ngoja nikaoge kwenye bahari.Kabisaaa hapana chezea uchawi wa mama pasta!!
Kwa cm yangu wizooo sio rahisiAfu ungeweza kupata kabisa, ni vile tu ulishajikatia tamaa. Mimi nyingine nilifanya kubahatisha tu after mtandao kuwa umenizingua, lakini nikakuta haijaingizwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Muone unajidai hapo😍😍1. Uwe na simu/devices 2
2. Uwahi kuingiza vocha ambayo haijawahiwa.
3. Uwe na speed
Mengine majaaliwa ya Mungu
HahaaaaNawe hujapata mpendwa 😁😁weekend hii ngoja nikaoge kwenye bahari.
Jamani ni speed tu. Si unaona Hannah naye kakwangua tatu. Afu imagine vocha 8 zimeenda kwa watu watatu au wanne. So kama ungewahi vocha yako moja ukapambana nayo, ungepata tuKabisaaa hapana chezea uchawi wa mama pasta!!
Najiona mjanja, ngoja siku nikose nitakavyokuwa mnyongeMuone unajidai hapo😍😍
Ile ulosema spesho iko wapi ???Tutaziweka baada ya mapishi ya jioni![]()
Nimefungua pm



Aah kweli, simu moja sio rahisi sana, labda wawepo wachache wanaogombania. Hapohapo ukute simu inaloadKwa cm yangu wizooo sio rahisi
Kumbuka unavyojaribu mpk ushindwe uchek Nyingine muda huo sio rahisi
Labda kwa mwenye cm mbili