usisahau kuipiga.. ikipokelewa na ME shauri zako π€£Sawa, nimeshachukua namba yako
Kumbe tuna wataalamu wa hesabu wa kutosha hapa ndani hongera tena nkamu, naandaa daftari hapa nije nipate tuitionHahaha nikiwa primary mwalimu wangu wa tuition wa Hesabu alinikomaza sana. (Mungu ampe pumziko la amani). Siku ya test alikuwa anakuja na stopwatch; anasoma swali ndani ya dk 1 uwe umelimaliza then anasoma swali la 2. So pepa ya maswali 30/50 unaisolve ndani ya dk 30/50 respectively. Alinifanya niipende Hesabu hadi kesho na ikija kwenye kuandika; nina speed yangu amazing
Kidogo naibuwa waziri wako nakuwakilisha ππ
AahMacho macho tu na focus.. inakuwaje Heaven Sent anapata mbili wewe hata moja
ewaaπππ
Basi sawaaa
Ahsante sana mremboPamoja sana
Uwe na kazi njemaa best
Ooh hongera sana
Kupunguza kilo hizo
Ah sasa hivi nanenepa kwa vingi nakula sana karanga iwe kwa mboga au peanut kwa mkate .
Chipsi nazo mara chache huwa naonja
Sihangaiki sana


Unatumia app au browser ππAah
Cm ipo slow ,siwezi refresh page ikarespond faster
Mwanzo wa kukosea namba, ndiyo mwanzo wa urafikiπππusisahau kuipiga.. ikipokelewa na ME shauri zako π€£
Kidogo naibuwa waziri wako nakuwakilisha ππ
Hahahahaha nkamu nimesema naipenda; sijasema naiweza. Maana unaweza ukakipenda kitu, ila chenyewe kikakukataaππππKumbe tuna wataalamu wa hesabu wa kutosha hapa ndani hongera tena nkamu, naandaa daftari hapa nije nipate tuition
Rudi kwa kaka angu, tukununulie Samsung latestMmh aiseee
Sie ambao tuna cm za mchongo ni ngumu
Mpk urefresh page tu almost DKK ushapitwa
Siwezi kukuangusha jirani, lazima ujivunie jirani yakoππUmetisha sana jirani wangu wa nguvu
..ππππ
Sahivi nitajibu ,siwezi sandakalawe
Heh mmepangana uko mje mnikataeAcha kumuimbisha ndugu yako
Shangazi kashasema
Yule bro wetu 2pacCuzoo hebu mtafute braza wa westside kwanza
Labda tutakuwa ndugu![]()
Kuna mtu alinambia ana kg 76Ukiamua unaweza mimi nimeweza na nimepungua kutoka kilo 86 mpaka 74
Nilichofanya nakula kila kitu sema kwa kiasi chapati badala ya kula mbili nakula 1,wali nakula kidogo sana ila mboga za majani nyingi matunda yakumwaga na maji mengi na upikie mafuta kidogo sana siku nitaweka kipimo cha chakula nachokula...