Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha nikiwa primary mwalimu wangu wa tuition wa Hesabu alinikomaza sana. (Mungu ampe pumziko la amani). Siku ya test alikuwa anakuja na stopwatch; anasoma swali ndani ya dk 1 uwe umelimaliza then anasoma swali la 2. So pepa ya maswali 30/50 unaisolve ndani ya dk 30/50 respectively. Alinifanya niipende Hesabu hadi kesho na ikija kwenye kuandika; nina speed yangu amazing
Kumbe tuna wataalamu wa hesabu wa kutosha hapa ndani hongera tena nkamu, naandaa daftari hapa nije nipate tuition
 
Acha na mimi ni selfike, King asante.
20220610_114729.jpg
 
Ukiamua unaweza mimi nimeweza na nimepungua kutoka kilo 86 mpaka 74


Nilichofanya nakula kila kitu sema kwa kiasi chapati badala ya kula mbili nakula 1,wali nakula kidogo sana ila mboga za majani nyingi matunda yakumwaga na maji mengi na upikie mafuta kidogo sana siku nitaweka kipimo cha chakula nachokula...
Kuna mtu alinambia ana kg 76
Nikajua nitamkuta bonge hatari
Dah kumbe ni wa kawaida kama Frank wa Juakali..
Nikabaki nashangaana
 
Back
Top Bottom