Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Ah ngumu sana tuache wanaoweza kwa kweli
Mimi ni foodie siwezi kufanya diet kabisa
Wanga haukwepeki kabisa kwa maisha haya ya kitanzania ..maana lazima uangukie huko .
Ukiamua unaweza mimi nimeweza na nimepungua kutoka kilo 86 mpaka 74
Nilichofanya nakula kila kitu sema kwa kiasi chapati badala ya kula mbili nakula 1,wali nakula kidogo sana ila mboga za majani nyingi matunda yakumwaga na maji mengi na upikie mafuta kidogo sana siku nitaweka kipimo cha chakula nachokula...


