Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayo sio pure
Ni Yale makapi ambayo yashachujwa,wafanyabiashara wadogo wanayachukua then wanayachemsha tena na kuyachuja
So kwa tunaojua siwezi nunua hayo

Watu wanayapenda sana maana yako packed na vitamin pia
Na ukiangalia hayana harufu basi ndo chaguo la wengi .
Sema yanatoka kiwandani na watu wanaamini hiyo brand yao ya Sundrop .

Ah kweli huko mnayajua sio huku mafuta mabaya mnaletewa hamjui .
 
Angalia shoppers/ supermarkets

Huku yapo, ila kipindi kile mafuta yanaanza kupanda na yenyewe yakapotea.

Ni mazuri
Nayapenda
Me ni sunola au sundrop

Ooh yanaonekana mazuri sana .
Nikipata hayo natoboa nayo hata mwezi
Mbahili huyo kwa mafuta nilipata tabia wakati nampikia mama wakati huo hakuhitaji mafuta kwa chakula .
 
Yeah huwa ni mzuri sana
Nilitumia mara moja hivi .. nikaupenda

Ah bora mavuno tayari tuanze na michele mpya
Nimenunua mchele mbaya huo na hauishi

Bei zilipanda mwishoni mwa Mei hapo kilo ya mchele hadi 2400
Chapati zake zinatoka laini..
afu sio mgumu kukolea mayai

Kula kila siku 🤣

Vishuke tu vitu bana, juzi kati nimeuziwa mahali maharage alisema ni mapya maji mara 1. Kg 2500
 
Watu wanayapenda sana maana yako packed na vitamin pia
Na ukiangalia hayana harufu basi ndo chaguo la wengi .
Sema yanatoka kiwandani na watu wanaamini hiyo brand yao ya Sundrop .

Ah kweli huko mnayajua sio huku mafuta mabaya mnaletewa hamjui .
Umemix haya maelezo.. sundrop haina povu, wala hayabadiliki hata yakikaa sana ‘kw wale wapishi wa mara chache chache.

Na bei yako juu
Tofauti na hizi alizeti za kina singida
 
Chapati zake zinatoka laini..
afu sio mgumu kukolea mayai

Kula kila siku

Vishuke tu vitu bana, juzi kati nimeuziwa mahali maharage alisema ni mapya maji mara 1. Kg 2500

Ah kumbe
Chapati zatoka vizuri hivyo kumbe
Nitajaribu kupika kwa chapati nione

Ah sijui vitashuka lini .. kila siku vyapanda tu weh
Ulivyochemsha yaliiva upesi sasa ?

Sema huko mnapata fresh from shamba
Last time nimeununua maharage ilikuwa 2800

Sabuni nazo zipo juu
Sasa bora utumie zako shower gel yako
 
Ah kumbe
Chapati zatoka vizuri hivyo kumbe
Nitajaribu kupika kwa chapati nione

Ah sijui vitashuka lini .. kila siku vyapanda tu weh
Ulivyochemsha yaliiva upesi sasa ?

Sema huko mnapata fresh from shamba
Last time nimeununua maharage ilikuwa 2800

Sabuni nazo zipo juu
Sasa bora utumie zako shower gel yako
Zinatoka bombastic..

Yes, ila nilipika kwa multi cooker’ 35mins!
Huku vya shambani kuna muda vinakuwa vingi.. ni raha tu, kama hapo August viazi ulaya vitakuwa vingi.

Sabuni ni kweli 🤔
Natumia tu pears, kuna mahali nilikuwa nachukuaga kwa 2500.. sahivi sehemu ya karibu nachukua kwa 3500
 
Zinatoka bombastic..

Yes, ila nilipika kwa multi cooker’ 35mins!
Huku vya shambani kuna muda vinakuwa vingi.. ni raha tu, kama hapo August viazi ulaya vitakuwa vingi.

Sabuni ni kweli
Natumia tu pears, kuna mahali nilikuwa nachukuaga kwa 2500.. sahivi sehemu ya karibu nachukua kwa 3500

Okay
Hiyo ndo ya raha mikoa inayolima ..mavuno yakifika vitu vingi kweli na bei rahisi .

Ooh labda vitakuja kushuka miezi ya mbele huko
Kwa sasa hali ni mbaya ..
 
Mshana Jr kaka kocha lenu lishatua bongo
 

Attachments

  • IMG-20220609-WA0010.jpg
    IMG-20220609-WA0010.jpg
    38.3 KB · Views: 11
Habari za usiku selfika family!
Kiukweli Nawamis na kuwakumbuka sana sana nivile tu nimebanwa na majukumu kidooogo ya kuweka au kwa hawa vijana wetu waliomaliza majuzi hapa. Lakini break nachungulia chungulia nakutana na Salamu zenu nyingi sana za kunimiss kwa namna moja ama nyingine nami nawakumbuka sana wapendwa mbarikiwe sana!

Anyawys lengo la kuwasumbua hapa ni kutaka kuwajulisha kuwa kwa sasa nimebadili username kutoka " Mahondaw" to" Antonnia" kama inavyojionesha hapo!

Nina kama wiki moja tangu nibadili username hii sasa kwa leo jioni Katika kuja kuwasabahi ndugu zangu selfika nikakutana na salamu za kukumbukwa kutoka kwa mpendwa Nuzulati Katika kusoma soma pages nikaona mahala Kelsea amesema anashangaa anaona kuna mtu anatumia my former username Mahondaw ila alipomchunguza akagundua sio mimi . Then mimi pia nikafuatilia kuprove kama ni kweli na kugundua kuwa ni kweli my former username is in use but to another person!

So please wapendwa kuanzia sasa sihusiki/sitahusika na kitu/ content yoyote ambayo itapostiwa kwa hio username ya Mahondaw!

Katika kufatilia inaonekana huyu mtu anapendelea sana sana nyuzi hizi:
1.Likes
2.Vituko mitandaoni
3.Picha za warembo
Pia huu uzi wa selfika ni mdau sana ukiangalia posts za nyuma utamuona!

Sijajua lengo lake ni kunichafua / kutapeli kutumia hilo jina or for what seriously I don't know wapendwa but I smells something fishy in here!
So nimeona ni vema nika wa alert / kuwapa precautions mapema wapendwa wangu!
Na Avatar niliokua naitumia kwa Mahondaw hio hapo chini nimeifanya hivo makusudikally
Na hii post nimeona niiweke tu usiku huu sasahivi ni saa 00:52 am kabla hakujakucha huwezijua ya waja!


Asanteni sana

Nawasilisha

Mshana Jr Nuzulati Kelsea Mjep cocastic Glenn Shimba ya Buyenze Strawbella mtu chake Yna2 sophy27 Hustler one Ngariba1 Christine1 Wigelekelo Katriel tamsana spidernyoka Saint Anne _King Heaven Sent genetic mbalizi1 CAPTORHINOMORPHS My Sons Legacy na wengineoView attachment 2255849View attachment 2255852View attachment 2255853View attachment 2255854View attachment 2255855View attachment 2255856
Antonnia asante kwa taarifa
 
Habari za usiku selfika family!
Kiukweli Nawamis na kuwakumbuka sana sana nivile tu nimebanwa na majukumu kidooogo ya kuweka au kwa hawa vijana wetu waliomaliza majuzi hapa. Lakini break nachungulia chungulia nakutana na Salamu zenu nyingi sana za kunimiss kwa namna moja ama nyingine nami nawakumbuka sana wapendwa mbarikiwe sana!

Anyawys lengo la kuwasumbua hapa ni kutaka kuwajulisha kuwa kwa sasa nimebadili username kutoka " Mahondaw" to" Antonnia" kama inavyojionesha hapo!

Nina kama wiki moja tangu nibadili username hii sasa kwa leo jioni Katika kuja kuwasabahi ndugu zangu selfika nikakutana na salamu za kukumbukwa kutoka kwa mpendwa Nuzulati Katika kusoma soma pages nikaona mahala Kelsea amesema anashangaa anaona kuna mtu anatumia my former username Mahondaw ila alipomchunguza akagundua sio mimi . Then mimi pia nikafuatilia kuprove kama ni kweli na kugundua kuwa ni kweli my former username is in use but to another person!

So please wapendwa kuanzia sasa sihusiki/sitahusika na kitu/ content yoyote ambayo itapostiwa kwa hio username ya Mahondaw!

Katika kufatilia inaonekana huyu mtu anapendelea sana sana nyuzi hizi:
1.Likes
2.Vituko mitandaoni
3.Picha za warembo
Pia huu uzi wa selfika ni mdau sana ukiangalia posts za nyuma utamuona!

Sijajua lengo lake ni kunichafua / kutapeli kutumia hilo jina or for what seriously I don't know wapendwa but I smells something fishy in here!
So nimeona ni vema nika wa alert / kuwapa precautions mapema wapendwa wangu!
Na Avatar niliokua naitumia kwa Mahondaw hio hapo chini nimeifanya hivo makusudikally
Na hii post nimeona niiweke tu usiku huu sasahivi ni saa 00:52 am kabla hakujakucha huwezijua ya waja!


Asanteni sana

Nawasilisha

Mshana Jr Nuzulati Kelsea Mjep cocastic Glenn Shimba ya Buyenze Strawbella mtu chake Yna2 sophy27 Hustler one Ngariba1 Christine1 Wigelekelo Katriel tamsana spidernyoka Saint Anne _King Heaven Sent genetic mbalizi1 CAPTORHINOMORPHS My Sons Legacy na wengineoView attachment 2255849View attachment 2255852View attachment 2255853View attachment 2255854View attachment 2255855View attachment 2255856
Khaaaa 🤣🤣😂

Nilimuona jana kwenye notifications..
Sahivi kabadili
Yuko hapa…. The Queen of Sheeba

Sasa shost ‘kwin’ ikawaje na usenames za watu 😃😃
 
Back
Top Bottom