Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habari za usiku selfika family!
Kiukweli Nawamis na kuwakumbuka sana sana nivile tu nimebanwa na majukumu kidooogo ya kuweka au kwa hawa vijana wetu waliomaliza May! . Lakini break nachungulia chungulia nakutana na Salamu zenu nyingi sana za kunimiss kwa namna moja ama nyingine nami nawakumbuka sana wapendwa mbarikiwe sana!

Anyawys lengo la kuwasumbua hapa ni kutaka kuwajulisha kuwa kwa sasa nimebadili username kutoka " Mahondaw" to" Antonnia" kama inavyojionesha hapo!

Nina kama wiki moja tangu nibadili username hii sasa kwa leo jioni Katika kuja kuwasabahi ndugu zangu selfika nikakutana na salamu za kukumbukwa kutoka kwa mpendwa Nuzulati Katika kusoma soma pages nikaona mahala Kelsea amesema anashangaa anaona kuna mtu anatumia my former username Mahondaw ila alipomchunguza akagundua sio mimi . Then mimi pia nikafuatilia kuprove kama ni kweli na kugundua kuwa ni kweli my former username is in use but to another person!

So please wapendwa kuanzia sasa sihusiki/sitahusika na kitu/ content yoyote ambayo itapostiwa kwa hio username ya Mahondaw!

Katika kufatilia inaonekana huyu mtu anapendelea sana sana nyuzi hizi:
1.Likes
2.Vituko mitandaoni
3.Picha za warembo
Pia huu uzi wa selfika ni mdau sana ukiangalia posts za nyuma utamuona!

Sijajua lengo lake ni kunichafua / kutapeli kutumia hilo jina or for what seriously I don't know wapendwa but I smells something fishy in here!
So nimeona ni vema nika wa alert / kuwapa precautions mapema wapendwa wangu!
Na Avatar niliokua naitumia kwa Mahondaw hio hapo chini nimeifanya hivo makusudikally
Hii post nimeona niiweke tu usiku huu sasahivi ni saa 00:52 am kabla hakujakucha huwezijua ya waja!


Asanteni sana

Nawasilisha

Mshana Jr Nuzulati Kelsea Mjep cocastic Glenn Shimba ya Buyenze Strawbella mtu chake Yna2 sophy27 Hustler one Ngariba1 Christine1 Wigelekelo Katriel tamsana spidernyoka Saint Anne _King Heaven Sent genetic mbalizi1 CAPTORHINOMORPHS My Sons Legacy na wengineoView attachment 2255849View attachment 2255852View attachment 2255853View attachment 2255854View attachment 2255855View attachment 2255856
Asante kipenzi kwa kutoa taarifa ubarikiwe huko ulipo😍❤️
 
Screenshot_2022-06-10-08-54-08-371_com.maxmpz.audioplayer.jpg
 
Mpendwa nakupenda acha tu, Leo utauza kuliko siku zote za maisha yako toka umeanza biashara yako.. Usisahu kutoa ushuhuda usiku home.. Lini mie nikutakie mabaraa mama kijacho 🥲🥲

By Baba kijacho 😍😍
🙏🏽🙏🏽🙏🏽Hayo ndio maandishi sasa ya kutakiana baraka tele nikifanikiwa mimi sawa umefanikiwa wewe 😍
 
There is no me without You ha no me without You
There is no me I need You more than yesterday
No-no-no me without You
There is no me I can't do nothing on my own Lord
I need You more than ever before
I need You more than yesterday You're my tomorrow
You're the passion that I have You're the Future that I see yeah yeah yeah yoyoh
There is no me without You everybody say
 
Umemix haya maelezo.. sundrop haina povu, wala hayabadiliki hata yakikaa sana ‘kw wale wapishi wa mara chache chache.

Na bei yako juu
Tofauti na hizi alizeti za kina singida
I think alimaanisha ya alizeti,ni kweli yapo yenye povu
Ambayo ndo hayo mi nimesema ni Yale wafanyabiashara wadogo wanayachukua na kuanza kuyachemsha tena ili kupata mafuta!
Ss kuyafahamu ni balaa unaweza pigwa vzr tu
 
Back
Top Bottom