Anza kachori dearNitautafuta.
Ila huu pia unenitolea keki nzuri
View attachment 2255770
Ngoja nianze na kachori kwanza
Wala sijaselfika na picha yangu.Wizooo na we umesuburi nitoke ndo uselfike
Leo sijaweka..Anza kachori dear
Yah naona imetoa vizuri
Unatumia limau kukata harufu ya mayai

YesAh balaa sema nyie mafuta huko alizeti bei nafuu
Sio huku kichupa cha Sundrop 9000
Tulizoea ngano robo na yai moja chap unapata chapati za maji .
Inflation sio poa kabisa ..mbaya zaidi bei zimepanda sehemu nyingi duniani .
Aah okWala sijaselfika na picha yangu.
Nilicomment picha ya Depal.
Wanauzaje?Yes
Halafu sundrop sio pure alizeth eeh?
Huku mafuta yameshuka sahivi,na yatashuka tena sbb ni mavuno,yatapanda baadae!
na alizeti ndio mafuta ghali kuliko yote!
Hebu rudia tena mi sijaona jamaniHhahahaha .sawa kaka
Leo sijaweka..
Naona hata hayanuki.
Kachori nimeona kama rahisi
Ngoja tuone kesho... expectation vs reality![]()
Nishaizoea hiyo bei 🤣Ah balaa sema nyie mafuta huko alizeti bei nafuu
Sio huku kichupa cha Sundrop 9000
Tulizoea ngano robo na yai moja chap unapata chapati za maji .
Inflation sio poa kabisa ..mbaya zaidi bei zimepanda sehemu nyingi duniani .
Kama najiona hivi,maduara yatakavyopasukia kwenye mafutaAh vanilla tu inatosha
Yah ni simple sana kuaindaa wewe utaona
Almost 2 hours na huchoki kabisa
Hakika utaweza tu .. viazi visirojeke sana wakati uanchemsha na ukifinyanga upate viduara hakikisha havina ufa

Sahv Lita ni elf 6 toka kwenye 7500Wanauzaje?
Ni alizeti.. sema imefanyiwa namna flani kutolewa ile harufu ‘sijui ndio kuchemshwa au kuchujwaYes
Halafu sundrop sio pure alizeth eeh?
Huku mafuta yameshuka sahivi,na yatashuka tena sbb ni mavuno,yatapanda baadae!
na alizeti ndio mafuta ghali kuliko yote!
Tayari mbona
Ni mridhiko wa maisha jirani,so unajua tenaHe!....kulikoni jirani

Aah okay!Ni alizeti.. sema imefanyiwa namna flani kutolewa ile harufu ‘sijui ndio kuchemshwa au kuchujwa