Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwakweli!! Sasa kuna muda unakuta mkaka anajisifuuuuuuu maneno mengiiii blah blah kibao kuja 6*6 toba yaillahi!! ni empty set!!
unabaki TU
Hata enzi zangu hilo kosa sijawah kufanya,,, yaani bora akapate suprise huko huko,, mambo ya kusema ntakukunja kama nguo kwenye tenga la nguo chafu hapana sitaki
 
Dah mnatabu sana, kwa hiyo huwa hampati anayeambika ndio maana mnalia hamfiki kileleni.
Kimsingi game zuri na utakayoifurahia ni kuanzia round ya pili kuendelea maana hapo kila mmoja anamuhitaji mwenzie ili kuamsha feelings. Vinginevyo mtakuwa mnalalamika kila siku hamfiki mnakotaka kufika
Kuna mwingine unaanzaje kumuambia uwiiii!! Lakini mwingine aaarrh mnakua kama friends vile hadi raha!!! Hasa kipindi cha ujana ujana lakini!
 
Vijana kama hawa wana sendo zao flani hivi

D829C45F-4D81-460C-B4AF-9199F6DD6E2D.jpeg
 
Mimi nimedeti na wazungu...

Wajua tofauti ilipo kati ya wazungu na nyie dada zetu?

Wazungu wako open sana. Yaani anakwambia laivu nini cha kufanya na wapi pa kukomalia ili afike kileleni...I like this...a lot. If you do it this way, I will come quickly and hard...yaani unapewa codes zote na kazi yako inakuwa nyepesi tu yaani...

Sasa nyinyi dah! Unajua kabisa braza hakufikishi kwa sababu hajaujua mwili wako vizuri. Na mko tofauti sana kila mmoja na mahitaji yake. Mkaka wa watu anahangaika weee huku na kule hakuna kitu. Halafu unatoka hapo unalalamika eti huyu jamaa bure kabisa. Mbona tu usimpe funguo za sefu ya mwili wako zilipo mkafurahia na kuokoa muda na kuondoa hizi frustrations na malalamiko yasiyo ya lazima?

Mi naulizaga tu. Eee bana eeh! Mi sitaki kutoka mijasho ya bure hapa. Nini kifanyike? Wapi pashughulikiwe? Tumalize hii gemu...au leo tufurahishane tu na lo lote litakalotokea litokee i.e. mechi zisizo na malengo...

Nyie mabinti wasomi...you can change the game...for the better!
Mimi ninaona sisi wanaume ndio tunatakiwa kuwapa assuarance, ili wawe huru kujielezea wakati wa tendo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom