Jiroge sasa! utalea na ukoo wenu tu!Hawa ndio wale wanamuambia mchuchu nibebee mimba kulea sitoshindwa![]()
Jiroge sasa! utalea na ukoo wenu tu!Hawa ndio wale wanamuambia mchuchu nibebee mimba kulea sitoshindwa![]()
Usipisema utabakia kujilaumu moyoni,, ondoa aibu jirani anza mdogomdogo mpaka...We unasema mpendwa mimi naona aibu😎
Mwanaume muongo Wewe sijawahi kuona 😬😬Wewe ni afya na uzima wangu.. wengine wote vidampa na namba zao nimefuta 😍😍
Ndio maana mwanzoni nimekueleza kuwa ni vema kufahamu personality yako ili ikusaidie upate personality ya mtu ambae mtaendana maana kutakuwa na kuelewana.Kuna mwingine unaanzaje kumuambia uwiiii!! Lakini mwingine aaarrh mnakua kama friends vile hadi raha!!! Hasa kipindi cha ujana ujana lakini!
Shida inaanza kuna wanaume hawataki kuambiwa ukweli, wananuna.Mimi ninaona sisi wanaume ndio tunatakiwa kuwapa assuarance, ili wawe huru kujielezea wakati wa tendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ila wewe mbona nachelewaga ndio maana sioni pengine wacha nirudi na kutulia ni wewe tu ndio unanikawizaga sijui unanijulia sana 😄😄Vumbi la kongo lina kuhusu😁😁
Kweli Kabisa!Ndio maana mwanzoni nimekueleza kuwa ni vema kufahamu personality yako ili ikusaidie upate personality ya mtu ambae mtaendana maana kutakuwa na kuelewana.
Mimi siwezi ajiongeze mwenyeweUsipisema utabakia kujilaumu moyoni,, ondoa aibu jirani anza mdogomdogo mpaka...
Sina makuu mie😂🙄🙄🙄🙄 bado wewe
Mama kijacho huyo nakupenda tuu 😍😍Mwanaume muongo Wewe sijawahi 😬😬
Jiroge sasa! utalea na ukoo wenu tu!

Hizi organisms ambazo zinasema hazijui kitu,,, brooh kaa nazo mbali kama huna pumzi,,, ni fayaaaHuko ndio kabisaaa ziro brain!![]()




Na ukishamsikia anakuambia hunifikishi ujue ameshamkumbuka x wake. Mnachoogopa mabinti kusema mnachohitaji mnaona mtaambiwa nyie ni malayaSerious kabisa watu hawaelewi kwann wanawakumbuka ma ex zao ,hii moja ya sbb
😀 😀Mengine unaashiria tu kwa vitendo, ataelewa.Mimi siwezi ajiongeze mwenyewe
Maandalizi ya kazi maalumuNjoo tupige pweza kwanza hapo.. Nuzulati huyo mpenzi wangu wa kufa na kuzikana tunarudiana siku si nyingiView attachment 2255457
Christine1 ananitunuku kiroho safi, acha niifanyie mazoezi muhimu 😀😀Maandalizi ya kazi maalumu
Nashukuru umenielewa sasa 🥰Kweli Kabisa!
😘😘😘😘Nashukuru umenielewa sasa 🥰
Kufika kibooo utakusikia tuMimi siwezi ajiongeze mwenyewe