Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwezi kuongea vizuri vile, nikakupa A+ kwenye theory, halafu ukapata S kwenye practical, naamini hata practical lazima unapiga misonge tu!
Huko ndio kabisaaa ziro brain!🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️
 
Huwa nyie mnapenda kufanyiwa vizuri. Huu mchezo ni two way. Sasa unakuta binti amekutengea tu unahangaika wee mwisho wa siku anasema hujafika mlimani wakati wewe mwenyewe hutoi ushirikiano.
Watoe ushirikiano, sasa hivi.."you do me and I do you", mambo ya kutengeana kama beseni unahangaika kufua mwenyewe nani anataka.
 
Nimefurahi unapenda bamia, ni nzuri kwa afya wanasema..ngogwe ni nyanza chungu...kuna namna wanazipika hawa wataalam, haziivi vizuri, basi ukitafuna unajua kabisa nakula afya hapa!!
Nyanyachungu zile ndogo ndogo zinakauchungu kwa mbali??
 
Salama boss kilinitait kihoma hapa Kati lakini Sasa nimerudi kwenye reli,,watoto wazuri wanahitaji care Safi Sana
Pole sana mkuu, nahisi kuna ka upepo flani kana pita mie mwenye hapa nipo hoi hatari ila nakaza tu
 
Mimi nimedeti na wazungu...

Wajua tofauti ilipo kati ya wazungu na nyie dada zetu?

Wazungu wako open sana. Yaani anakwambia laivu nini cha kufanya na wapi pa kukomalia ili afike kileleni...I like this...a lot. If you do it this way, I will come quickly and hard...yaani unapewa codes zote na kazi yako inakuwa nyepesi tu yaani...

Sasa nyinyi dah! Unajua kabisa braza hakufikishi kwa sababu hajaujua mwili wako vizuri. Na mko tofauti sana kila mmoja na mahitaji yake. Mkaka wa watu anahangaika weee huku na kule hakuna kitu. Halafu unatoka hapo unalalamika eti huyu jamaa bure kabisa. Mbona tu usimpe funguo za sefu ya mwili wako zilipo mkafurahia na kuokoa muda na kuondoa hizi frustrations na malalamiko yasiyo ya lazima?

Mi naulizaga tu. Eee bana eeh! Mi sitaki kutoka mijasho ya bure hapa. Nini kifanyike? Wapi pashughulikiwe? Tumalize hii gemu...au leo tufurahishane tu na lo lote litakalotokea litokee i.e. mechi zisizo na malengo...

Nyie mabinti wasomi...you can change the game...for the better!
Shida ni mazingira aliyojengewe mwanamke!
Ndo maana ni vzr Huyo baby wako akawa rfk ako kwanza!
Yaani akufanye uone km amekupenda km ulivyo akufanye uwe huru anakujemgea confidence ya kujiamin mbele yake!
Mi nakuchana tu yaani,gusa hapa,pita hapa mambo ya kuachwa nusunusu siwezi
 
Back
Top Bottom