Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Nkamu huwa sina mashaka na wewe kwenye hiyo sekta. Mtu akijichanganya kwenye 18 zako ni lazima akasimulie hadi mizimu ya kwao😂😂😂😂Kuna huyo mmoja alinizingua 2016 mwanzoni. Akaja hadi PM weee alinitukana matusi mapya ambayo nilikuwa siyajui. Nikasema wewe hunijui mimi vizuri.
Tangu huo mwaka hadi mwaka jana ndio aliniomba msamaha maana kila mwaka nilikuwa nampa dozi yake halafu miezi ile ile. Yaani nilikuwa nikikaa nikiona sina cha kufanya nampaaa, asipojibu namfuata jukwaani namwambia "jibu pm".
Sasa hiyo mwaka jana miezi ya kumpa dozi ikafika, Nikamwandikia "happy anniversary kwa ugomvi wetu". Akaniambia nimsamehe, kwanza amefiwa. Basi sasa hivi ni swahiba wangu.
Endelea unaelekea pazuriAsante
Ss watu wanafikiri ingiza toa ndo tunafika
Kumkojoza mwanamke sio kazi ndogo
🙈🏃
Au acha niishie hapa..
😂Em selfika ex wifi, tubadili kaupepo😂😂😂
Usijali jirani, hapa ni kuvuta furaha maisha yaende. Stress inaua jirani.Nzuri jirani mpaka naona aibu😎😁😁😁
Haha acha tu huyo baby wangu kiportable afu mpare mchepuko kiportable afu mbulu unategema nn hapo mm mbio kumbe wameniungia nilikimbizwa acha tu nikahama eneo kwa Muda wa miezi 6 hiviDuh nimecheka aiseee
Jmn tumefanyaje we genetic
Na kwann ufumaniwe jmn?
To be honesty Fanya yote nitakuwa mpole,once nimegungua unacheat,yaani na share dyudyu,hakuna rangi utaacha ona,ila sitakuwa naongea ,na sitakunyima nitakupa tu ilaa........![]()
Mmmmmmmmmmmh ni wapi mimi nimevisimanga? Tumesema tu nguvu za kuhandle wanawake wengi hamna.Ngoja wenye hekima tukae kimya. Hatuwezi kuvisimanga viungo vyenu vya uzazi maana ndimo tulimotokea japo tunatumia maisha yetu yote tukijaribu kurudimo![]()
Zile nyama nyama uwiiii,, af ukute ana hit gym waist line yaonekana halafu huku chn ni Mercedes benz actros,, ukiwa na moja ya hvoTuna nini hadi hamtutaki??






Support hakunaTuna nini hadi hamtutaki??
😁😁😁Walipo fikia dua zetu muhim sana😂😂😂😂 Wakisikia tu mende anaongeza nguvu za kiume, haooooooo
Hahaha, inasaidiaaaaa...Kwa kweli michepuko inasaidia sana. Si mnaona siku hizi hata mkirudi alfajiri tunawapokea kwa magoti na mapambio; nyoyo kong'oliiiii
Watu wanatafuta kujiamini, wanasema "ze biga ze manhud, ze kujiamini zaidi"...mi bwana hata sijui.zote ni kazi za mungu cha muhimu utundu tu kwani unaeza mkojoza/ furahisha mwanamke hata kwa kidole tu!
Ukitumia viungo vyako effectively mbona mtafurahia tu sex sio ingiza toa tu kakangu si ndio??
Sawasawa jirani, usiidhau njia uliyopitia awali..Ngoja wenye hekima tukae kimya. Hatuwezi kuvisimanga viungo vyenu vya uzazi maana ndimo tulimotokea japo tunatumia maisha yetu yote tukijaribu kurudimo![]()
SkolBasi tunywetu

😆😆😄😄 naendelea kusoma commentsKwanza kwa vidudu gani walivyo navyo matangazo yamejaa kibao ya dawa kwa ajili yao 😬😁😁😁
Yeeh yeeehAmen brother...![]()
Utakua haukumpenda wwKweli tunatofautiana, mimi nikikufuma nawaacha muendelee sinaga muda wa kupigizana kelele na mtu aliemua kugawa kidude chake kwingine.
Hahahah!!! ufundiiiiii kama una bamia jidifendi kwakua fundiiii!! Ulimi/ mdomo unao kidevu unacho mikono/ vidole unavyo use them effectively 😎😎🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️Hahaha, inasaidiaaaaa...
Jamani kwa hizi kero ndogondogo kama upo na mmoja tu waweza kufwa
Watu wanatafuta kujiamini, wanasema "ze biga ze manhud, ze kujiamini zaidi"...mi bwana hata sijui.
Kumbe tuna advantage mkuu, ila kwenye kukomoa wametupita sana..nasikia mijamaa kuna namna wakiamua kukomoa wanaweza..haha!Vi ba100 ile ya kujipimia ndio mahala pa kujidai wenye ndoga watoto wanaogopa kuzikalia wanaumia .. na sie tuna adavantage 😁😁