Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna ulazima wa ku ignore mimi na Jeuri yangu naweza mpotezea mtu kuanzia pm mpaka jukwaani sifungi pm na sms zake sijibu.
Mie nafunga Kuepuka kujaziwa inbox tu kwa ujinga ujinga na wachache wanaowaharibia wenzao
Kuna wengine ni wanajielewa mnooo! Mnachat pm kistaarabu kabisa hata kama mmetofautiana kwa namna moja ama nyingine kiutu uzima tu mnaendelea kutumiana na kupigana story wale vichomi sasa ndio utaona balaa/ bifu/ figisu zao!!
 
hahahahahaha,we mtata
Kuna huyo mmoja alinizingua 2016 mwanzoni. Akaja hadi PM weee alinitukana matusi mapya ambayo nilikuwa siyajui. Nikasema wewe hunijui mimi vizuri.

Tangu huo mwaka hadi mwaka jana ndio aliniomba msamaha maana kila mwaka nilikuwa nampa dozi yake halafu miezi ile ile. Yaani nilikuwa nikikaa nikiona sina cha kufanya nampaaa, asipojibu namfuata jukwaani namwambia "jibu pm".

Sasa hiyo mwaka jana miezi ya kumpa dozi ikafika, Nikamwandikia "happy anniversary kwa ugomvi wetu". Akaniambia nimsamehe, kwanza amefiwa. Basi sasa hivi ni swahiba wangu.
 
Kuna huyo mmoja alinizingua 2016 mwanzoni. Akaja hadi PM weee alinitukana matusi mapya ambayo nilikuwa siyajui. Nikasema wewe hunijui mimi vizuri.

Tangu huo mwaka hadi mwaka jana ndio aliniomba msamaha maana kila mwaka nilikuwa nampa dozi yake halafu miezi ile ile. Yaani nilikuwa nikikaa nikiona sina cha kufanya nampaaa, asipojibu namfuata jukwaani namwambia "jibu pm".

Sasa hiyo mwaka jana miezi ya kumpa dozi ikafika, Nikamwandikia "happy anniversary kwa ugomvi wetu". Akaniambia nimsamehe, kwanza amefiwa. Basi sasa hivi ni swahiba wangu.
duh
 
Mie nafunga Kuepuka kujaziwa inbox tu kwa ujinga ujinga na wachache wanaowaharibia wenzao
Kuna wengine ni wanajielewa mnooo! Mnachat pm kistaarabu kabisa hata kama mmetofautiana kwa namna moja ama nyingine kiutu uzima tu mnaendelea kutumiana na kupigana story wale vichomi sasa ndio utaona balaa/ bifu/ figisu zao!!
Ok ni vizuri binafsi mimi sifungi pm kwa kiumbe mmoja au wawili never tena asiyenijua wala kunifaham
 
Kuna huyo mmoja alinizingua 2016 mwanzoni. Akaja hadi PM weee alinitukana matusi mapya ambayo nilikuwa siyajui. Nikasema wewe hunijui mimi vizuri.

Tangu huo mwaka hadi mwaka jana ndio aliniomba msamaha maana kila mwaka nilikuwa nampa dozi yake halafu miezi ile ile. Yaani nilikuwa nikikaa nikiona sina cha kufanya nampaaa, asipojibu namfuata jukwaani namwambia "jibu pm".

Sasa hiyo mwaka jana miezi ya kumpa dozi ikafika, Nikamwandikia "happy anniversary kwa ugomvi wetu". Akaniambia nimsamehe, kwanza amefiwa. Basi sasa hivi ni swahiba wangu.
Ushuhuda wako unanichekesha sana😁😁
 
Kuna huyo mmoja alinizingua 2016 mwanzoni. Akaja hadi PM weee alinitukana matusi mapya ambayo nilikuwa siyajui. Nikasema wewe hunijui mimi vizuri.

Tangu huo mwaka hadi mwaka jana ndio aliniomba msamaha maana kila mwaka nilikuwa nampa dozi yake halafu miezi ile ile. Yaani nilikuwa nikikaa nikiona sina cha kufanya nampaaa, asipojibu namfuata jukwaani namwambia "jibu pm".

Sasa hiyo mwaka jana miezi ya kumpa dozi ikafika, Nikamwandikia "happy anniversary kwa ugomvi wetu". Akaniambia nimsamehe, kwanza amefiwa. Basi sasa hivi ni swahiba wangu.
dah we hapana,unaishi wapi? Mbn mtata hivyo
 
Back
Top Bottom