Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndugu zangu wakiumeni bila shaka mnaona hizi kompeee za mabinti wangu!! Haya
Changanyeni na zakuzaliwa sasa!
Japo sio wote!!!
 
Sio kiherehere in such
Lakini in a normal situation nisingependa nimtumie mtu text then hajibu ...ana ignore
So nami mimi sipendi kumfanyia hivyo mwingine .
Yes na mimi huwa sipendi hii hali ndio sababu nilifunga. Ni bora usipatikane kabisa lkn sms zinafika na hazijibiwi hii si nzuri.
 
Yes na mimi huwa sipendi hii hali ndio sababu nilifunga. Ni bora usipatikane kabisa lkn sms zinafika na hazijibiwi hii si nzuri.
Sure thing
Mweh , I've been ghosted before inauma so siwezi mfanyia mwingine hivyo pia .

Ah roho hadi inauma ukifanyiwa hivyo ..mwendo wa blue ticks tu
 
Kuna ID moja kwenye jukwaa flani nilimzidi hoja akaja pm na vitisho vyake, nilimu ignore mpaka leo hawezi kutuma text pia haoni comments zangu jukwaa lolote.
Mtu akikuletea shida una ignore tu maisha yanaendelea
Wewe ndio humuoni ila yeye anakuona
 
Nataman kungekua na namna ukimlima block mtu aisone chochote kukuhusu na wewe usione chochote kumuhusu. Ingekua poa sana.
Labda kuna siku jf wataona inafaa watupe hiyo option. Lakini nadhani haipo kwa sababu wanataka kila mtu awe na chance ya kusoma kila bandiko linalowekwa humu.
 
Back
Top Bottom