Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
au nasema uongo mkuu 😁😁
au nasema uongo mkuu 😁😁
hahahahaha,mchakato si ulianzia jf au?😀😀 wa mtaani ndio wa jf, mie najitoaga muhanga tu

Tafuta sanguine vinginevyo ukikutana na mimi melancholic utapata shida sana.Wanaume muione hii !👆👆
Kuna Wengine wanachamfu kweli wanavuruko yani ukiwa nae ni unaongeza tu siku za kuishi kwa kucheka na kufurahi
Unakuta mwingne sirizzzzzzzz khaa😣😣 !hadi anaogopesha!
Wanaume Mliozubaa muione hii 👆👆👆👆🤣🤣🤣🤣!!Mwanaume yule ambae ukizingua nae anakuzingua kweli ila asiwe na mkono wa kupiga. Mwanaume ambae hata ukikaa nae unajihisi kabisa upo mahala salama, napenda. Sasa unakaa na mtu kazubaa huyo mimi simtaki.
Huyo atakuwa phlegmatic, yani don't care unamuendesha utakavyo 😀😀😀ninae tayari. Napenda mtu mwenye amsha amsha ila asiwe mbabe
ndio watu gani hao kaka mie nimeishia la Nne D??Tafuta sanguine vinginevyo ukikutana na mimi melancholic utapata shida sana.
Kwa vigezo vyako tafuta mwanaume phlegmatic.
nhahahahaha,nawe ni mtata niniHahaaaa
EwaaaaMwanaume yule ambae ukizingua nae anakuzingua kweli ila asiwe na mkono wa kupiga. Mwanaume ambae hata ukikaa nae unajihisi kabisa upo mahala salama, napenda. Sasa unakaa na mtu kazubaa huyo mimi simtaki.
Uongo kwako ni mwiko.hahahahahaha,niambie rafiki,nasema kweli daima
Naanzaje kumuendesha? Ananichenjiaga natulia mwenyeweHuyo atakuwa phlegmatic, yani don't care unamuendesha utakavyo![]()

Kwanza ili umpate unayeendana naye tambua kwanza temperament yako ili ujue ipi itaendana na ya kwakoWanaume Mliozubaa muione hii 👆👆👆👆🤣🤣🤣🤣!!
Hamna uongo hapo mkuuau nasema uongo mkuu![]()
Mwanaume wa hivi kuwa nae raha hata akiwa mbali unam'miss yaani.Ewaaaa
Kumbe portable tuko vzr!
Wa kupiga hapana!,ila ukileta ujinga anakunyoosha,hapo sawa!
Halafu maisha yanaendelea!
Sio upole uliozidi sitaki
Huo muda wa kuchunguza hayo sasa mnakua nao hata???Kwanza ili umpate unayeendana naye tambua kwanza temperament yako ili ujue ipi itaendana na ya kwako
Mpe pole
Pole, Google utawapata mkuu, hata kwa kiswahili wewe andika tu sanguine ni mtu wa aina gani utapata sifa zakendio watu gani hao kaka mie nimeishia la Nne D??
HahaaaaUtakuwa peke yake mambo ya kando yote napiga chini 😉😉
swadakta,wasiojua watahisi nataniaUongo kwako ni mwiko.