Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,558
😁😁😁😁Hili ni tatizo sugu la warembo wa humu
😁😁😁😁Hili ni tatizo sugu la warembo wa humu
Sawa tamsanaSawa mrembo, zamu yangu kesho nitapiga hodi pm upate mb chache za kuselfika
Nitumie namba PM nikupe 😋😋Hapana bwana king anazingua,IPO wazi😁
Jmn msinifsnyie hivi jmn pm iko wazi
Mbona mkono tu
Ulitaka nitume kisigino😬Mbona mkono tu
😎😎😎😬Nitumie namba PM nikupe 😋😋
within ten min jama mkae mguu sawa
Wengi humu tunaogopa majanga ndo mana tumefungaHili ni tatizo sugu la warembo wa humu

JamaniKwa nini wanawafungia sasa, baadaye wanakuja kunisumbua niwaombee![]()


PM hutaki kuja sasa ndio shida 😀😀Bwana usiweke hapa
Woga umepitiliza aisee 😀😀😀Wengi humu tunaogopa majanga ndo mana tumefunga![]()
Yalinikuta ndio sababu nimefungaWoga umepitiliza aisee![]()
AbeeeeeeIla Huko huko pm kulinipa mchuchu eti![]()
Aisee, mtu kaja kuimbisha pm 😂😂😂Yalinikuta ndio sababu nimefunga