Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
kabisa,rafiki.hebu selfika kidogoTuendelee kuishi, au sio?
kabisa,rafiki.hebu selfika kidogoTuendelee kuishi, au sio?
Comments anareply vizuri tu ila wewe huoniOk, ila hawezi reply comments zako wala kuku text pm
Ok.Wewe ndio humuoni ila yeye anakuona
HayaFungueni pm izo bhn kwan tuliopo humu si ndo waliopo mtaani
Yeah anareply na akitaka kuona anazionaComments anareply vizuri tu ila wewe huoni
Kwangu hii inatosha kabisaComments anareply vizuri tu ila wewe huoni
Hahaha balaa tupuBlue ticks zinauma acha tu![]()

Okay.Kwangu hii inatosha kabisa
Upo vizuriKuna ulazima wa ku ignore mimi na Jeuri yangu naweza mpotezea mtu kuanzia pm mpaka jukwaani sifungi pm na sms zake sijibu.


Daah, ndio maana PM zangu hazijibiwi, kumbe kuna uwezekano wa kuwa ignored.
Sent using Jamii Forums mobile app
PoleMimi nimewahi kumuignore mtu maana alikuwa anacomment pumba.Mie pia mtu akinikera kwa namna moja ama nyingine sijiulizi mara mbilibili ni ignore tu!!
Duh! Kuna muda natamani ningekua kajeuri hivi ila sasa ndio siwezagiMimi nimewahi kumuignore mtu maana alikuwa anacomment pumba.
Ila mtu akiniuzi sim ignore nitakula naye sahani moja.
Wengine wanahamia pm kunitukana, nakula nao sahani moja hadi wenyewe inabidi wani ignore maana hata mwezi ukipita nikikumbuka tu nalianzisha upya hata kama walishaacha. Yaani nikiboeka tu naendelea pale pale tulipo ishia.
hahahahahahaNimeshasahau hadi ku selfika![]()
Kazi ni nyingi mda mchache 😁😁Upo vizuri![]()
Watu wa namna hiyo wanashangaza sasa mtu anakuja hadi Pm ili iweje sasa, ni ushamba tuMimi nimewahi kumuignore mtu maana alikuwa anacomment pumba.
Ila mtu akiniuzi sim ignore nitakula naye sahani moja.
Wengine wanahamia pm kunitukana, nakula nao sahani moja hadi wenyewe inabidi wani ignore maana hata mwezi ukipita nikikumbuka tu nalianzisha upya hata kama walishaacha. Yaani nikiboeka tu naendelea pale pale tulipo ishia.