tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,830
- 8,246
Pm iheshimiwe 👐👐Ila Huko huko pm kulinipa mchuchu eti![]()
Pm iheshimiwe 👐👐Ila Huko huko pm kulinipa mchuchu eti![]()
Pole aiseeYalinikuta ndio sababu nimefunga
Kuna wapuuzi wengi jitu moja IDs mia. Mwingine mkitibuana kwene nyuzi anakuja kukujazia nzi pm nikaona isiwe kesiAisee, mtu kaja kuimbisha pm![]()
Thanks mrembo.Pole aisee
Nakuja baby wa mchongo🚶🚶🚶PM hutaki kuja sasa ndio shida 😀😀
Pm iheshimiwe![]()
kuna mazuri na mabaya yakeivi kwani lazima umjibu mtu PM unaweza soma ukapotezea na hata kuifuta kabla ya kuisoma na hupati shidaKuna wapuuzi wengi jitu moja IDs mia. Mwingine mkitibuana kwene nyuzi anakuja kukujazia nzi pm nikaona isiwe kesi
Aah niliona isiwe kesi nikafungaKumbe wanakuletea majanga?![]()

Pole jmnKuna wapuuzi wengi jitu moja IDs mia. Mwingine mkitibuana kwene nyuzi anakuja kukujazia nzi pm nikaona isiwe kesi
😋😋😋😋😋Nakuja baby wa mchongo🚶🚶🚶
Sio lazima ila huwa sipendi kuziona pale ndio sababu nikafunga.ivi kwani lazima umjibu mtu PM unaweza soma ukapotezea na hata kuifuta kabla ya kuisoma na hupati shida
Mbona zipo mbinu za kuwakwepa, una restrict kupokea text zake, au unamu ignore.Kuna wapuuzi wengi jitu moja IDs mia. Mwingine mkitibuana kwene nyuzi anakuja kukujazia nzi pm nikaona isiwe kesi
Kawaida hii mamii, thanks.Pole jmn
Safi kabisaSio lazima ila huwa sipendi kuziona pale ndio sababu nikafunga.
Niliona kufunga ni best option.Mbona zipo mbinu za kuwakwepa, una restrict kupokea text zake, au unamu ignore.
Pole.
Kero kweli ..Sio lazima ila huwa sipendi kuziona pale ndio sababu nikafunga.


Kwa hicho kiherehere endelea tu kufungaKero kweli ..
Mimi nina kiherehere lazima nizijibu
Ndo maana nafunga tu![]()

Sisi wenye id nyingi naona tunasemwa sasa...inauma sana, halafu msitufungie pm bwana!!Kuna wapuuzi wengi jitu moja IDs mia. Mwingine mkitibuana kwene nyuzi anakuja kukujazia nzi pm nikaona isiwe kesi
Kuna ID moja kwenye jukwaa flani nilimzidi hoja akaja pm na vitisho vyake, nilimu ignore mpaka leo hawezi kutuma text pia haoni comments zangu jukwaa lolote.Niliona kufunga ni best option.
Thanks.
Pole mamy! Bora umefunga tuKuna wapuuzi wengi jitu moja IDs mia. Mwingine mkitibuana kwene nyuzi anakuja kukujazia nzi pm nikaona isiwe kesi