Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Ile ya upaja kidogo maana nisipoiona nitapata ajaliipi hio??
asante mamy!Una kashingo kadhuliii
Mbona hii sioni jamani.....au kisa sijaweka vochaUmependeza sana.
hahahaaaa!!Mbona hii sioni jamani.....au kisa sijaweka vocha
Aah boss hem tulia kwanza mkuu.Vidole sasa!!🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Hatare Sana!!
Acheni uchoyo bwana mbona sasa na nyyie warembo huku mnataka kuwa kama wa badoo kuwa picha mpaka tutume bando na vocha🤣🤣🤣🤣🤣hahahaaaa!!
Kwa mara ya kwanza nimekubahatisha mkuu
Aah boss hem tulia kwanza mkuu.
Mimi ndio naambulia manyoya kila nikiingia naona umeshafuta 😀Kwa mara ya kwanza nimekubahatisha mkuu
Weekend njema mkuuHaya nimetulia 🙇!😉
Acheni uchoyo bwana mbona sasa na nyyie warembo huku mnataka kuwa kama wa badoo kuwa picha mpaka tutume bando na vocha🤣🤣🤣🤣🤣
Mkumbuke jamani misambwanda hiyo mlipewa buree na mama zenu...sambaze i upendo
Weekend njema mkuu
Weekend ya kuselfika mkuu 😀😀😀weekend Tena ndiokwanza Jumanne mkuu!!🙆🙆🙆!
Sasa mbona uoendo wenyewe mnafuta kabla hatujauonaHizo vocha hazihusiani na picha kabisa ni mnasambaza tu maupendo kwa dada/shangazi zenu wa selfika 😉!
Sikuini totooo zuriKwa mara ya kwanza nimekubahatisha mkuu
Hahahaa leo itabidi nifanye namnaMimi ndio naambulia manyoya kila nikiingia naona umeshafuta 😀