Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
hakuna kukimbiiaaa, atae kimbia ndio mshali huyo🤭🤭🤭Weraaaaaah weraaaaaah.
hakuna kukimbiiaaa, atae kimbia ndio mshali huyo🤭🤭🤭Weraaaaaah weraaaaaah.
Johari rotana imefunguliwa upyaa, una habari Mr kahawa?
Hakimbiii mtu hapaaa, woiiiiiih.hakuna kukimbiiaaa, atae kimbia ndio mshali huyo![]()
We tukae hapa tupige ma story tucheki ushawai ona wapi ugomvi wa ID 😅😅😅😅 hujui hata mtu analala wapi anaishi wapi huo ugomvi au utaniNa kweli yangu macho🌝
Kuna mchuchu anataka kuwa mke wa pili
😂 😂Hakimbiii mtu hapaaa, woiiiiiih.
Ndio unataka twendee hukoo 😅😅😅😅 usije kimbia mziki kwa kujirusha juu nikapata kesi ya mauaji buree ndio naiona hapa baada ya kuniambia 😅😅😅😅Johari rotana imefunguliwa upyaa, una habari Mr kahawa?
Mambo pambeeee mjini.
Sipendi maugomvi,napenda amani,ukweli na uwazi uwekwe,,,,sio habari ya vijineno visivyo na tija kama watoto wa shule ya msingi wakiwa wanashea Vivulana vipiga kengere,unapenda ugomvi wee?
Mbona juzi tu nimempa P 50 jamanii au ume myanganyaaa 😅😅😅😅
swali zuri sana hili nami najiuliza hvShangazi mahondaw tofauti na hapa huwa mnakutana na huko nje unajua sielewi 🤔 mnaelezeana mambo yenu mfano labda pm huko
Ndio unataka twendee hukoousije kimbia mziki kwa kujirusha juu nikapata kesi ya mauaji buree ndio naiona hapa baada ya kuniambia
![]()







wee nimesema tyuuh, wala huko mie sina hadhi hata ya kuwq mfanya usafi wa palee.Twende basi zanzibar , 🤭🤭🤭🤭 hakuna kuvuka maji hadi mmoja anyooshe mikono juuwee nimesema tyuuh, wala huko mie sina hadhi hata ya kuwq mfanya usafi wa palee.
Basis tutayaacha, amani itawale.Sipendi maugomvi,napenda amani,ukweli na uwazi uwekwe,,,,sio habari ya vijineno visivyo na tija kama watoto wa shule ya msingi wakiwa wanashea Vivulana vipiga kengere,
Watu wenye mioyo mibovu mambo kama haya yanaishia kutuumiza tu wallah,
Leo kitu gani sijui kilinileta hapa,,,nilishaonaga haya mambo kitambo sana na nikayakwepa nikajua kupo safe kumbe badoo.







Twende basi zanzibar ,hakuna kuvuka maji hadi mmoja anyooshe mikono juu





utanifia kifuani wee.