Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Limenikaa ila katu Siogopi mtu hata!! Watu kibao Wanasema wengine humuhumu why Mahondaw hahahaha!!
Nacheka tu mie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Asante kwa tahadhari shos na Heaven Sent
Wewe hutafutwi; wala huna shida na mtu; wewe ndiyo unajikuta unajiingiza kwenye mabifu na watu. Una option ndogo sana tu "kunyamaza".

Kama mtu hajakuongelea wewe, una haja gani ya kumuongelea? Kila mtu ashike 50 zake.
 
Lenie 😎😎😎
53C918C3-5E6A-49FE-9866-65760F5D2472.jpeg
 
Kwanza madogo? Ngoja siku yalipuke mbna JF itasimama hii, na kila nikisoma mchezo, shouga angu hatoboi, anapigwa KO asubuh tyuuuh.

Hana uwezo wa kubattle, na upolee wakee huu sasa lol.
Na tulivyo wanafki, ni busy kuscreen shot na kuitana. Tuache kuendekeza mabifu yasiyo na vichwa wala miguu. Ukiachwa achika; ukiacha achilia kweli. 🤐🤐🤐🤐
 
Kwanza madogo? Ngoja siku yalipuke mbna JF itasimama hii, na kila nikisoma mchezo, shouga angu hatoboi, anapigwa KO asubuh tyuuuh.

Hana uwezo wa kubattle, na upolee wakee huu sasa lol.
Ebu acha kukuza mambo .. usiingie kwenye fikra za watu kwa kitu ambacho pia hawafikirii kufanya.. usi imagine sanaa utapiliza 😎😎😎 Kunywa juice tupia picha
 
Acheni kumtisha pisi kali mahondaw. Uko juu kama mawingu huna baya na mtu.
 
Kumbe yapo mengi eeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ujinga dada
Tena ni ka mtu kamoja…
Ndio kanatafuta wenzake ubaya… kapo busy kutafuta team za kuchocheza.

Ukikauliza what’s behind hizi choko unazochokoa? Obviously ni hakana majibu…

Sasa mtu unabaki kujiuliza ‘what’s for??
It’s a very nonsense 😂😂😂 daaah
Jibu linabaki ‘soma potezea, zima data toka nje ya JF.

Raha sanaa yan 🤣🤣
 
Back
Top Bottom