Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujafanya kitu; ila kuwa na tahadhari. Fanya yako, funga mdomo sijui mikono yako ya ku-type. "Mambo ya watu, waachie wenyewe".
Aweee
Sijui hata nataka kuandika nini…

Anyway
Mwenye masikio na asikie.. kwa kweli

Ila nyie machawa mnaochawiana yatakuja kuwashinda vibaya 😂😂..
 
Shouga angu? Shouga angu? Shouga angu? Nimekuita mara 3.
Narudia tena, matatizo au ugomvi wa watu, wee usiwe daraja, wala usiwe njia.

Wenzako walikua ma konkiii, walibadili ID na kukimbia Jf kwa muda.
Nakuuliza tena unayawezaaaa? Wacha nikae kimya mie.

Tuselfike.

Ewaaaaaaaaaaaaaaa umemaliza yote.

Ngoja nitafute picha niselfike sasa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aweee
Sijui hata nataka kuandika nini…

Anyway
Mwenye masikio na asikie.. kwa kweli

Ila nyie machawa mnaochawiana yatakuja kuwashinda vibaya 😂😂..
Em andika basi binti Abby.

Wanatusemaga tu, wanawake hatupendani; ngoja leo tuambiane ukweli. Sio watu wanakuchezesha ngoma zao afu mdundo unazimikia kwako
 
Sitaki nikufiche na sina unafiki mwayaaa, wee unatafutiwa bifu, yaan wanakuchokonoa ili ujilipue hao wahusika wapate nafas ya kubattle nawee,

Maana kila mbinu inatumika kukuchokoza, wamekukuta hujari wala nn, ko inatafutwa kila angle hadi ujichomeke wakupate, hii selfika wee ukituma picha, lazima baadhi ya watu wahusishe na mtu mwigne, WHY?

Kwann hao wahusika wasije wenyewe hapa? Au wanatafuta kuonesha wee ndo dhaifu? Nakusihii kitu kidogo kitapoteza merits zako hapa jukwaani. Yaan unaona sometimes mada hazihusiki au za jukwaa lingine linaletwa hapa, KWANINI?

Tafakari na uchukue hatua, kuwa makiniii. Mie nimemalizaaaaaaaah
Lenie
Ile Pm tunaingiza kundi gani?

Ila watu humu sijui wakoje…Kwani mtu ukimind business zako utapungukiwa nini?
😂😂😂😂 ni choko mchokoe pweza, jichanganye wakudake. 😂😂😂😂😂

Ila nini unafki na uendelee au sio!

Tutapita tutalike tutazima data tunakuwa out of Jf na maisha mengine.. haidhuru
 
Lenie
Ile Pm tunaingiza kundi gani?

Ila watu humu sijui wakoje…Kwani mtu ukimind business zako utapungukiwa nini?
ni choko mchokoe pweza, jichanganye wakudake.

Ila nini unafki na uendelee au sio!

Tutapita tutalike tutazima data tunakuwa out of Jf na maisha mengine.. haidhuru
nimecheka mbavu cna, lol
 
Lenie
Ile Pm tunaingiza kundi gani?

Ila watu humu sijui wakoje…Kwani mtu ukimind business zako utapungukiwa nini?
ni choko mchokoe pweza, jichanganye wakudake.

Ila nini unafki na uendelee au sio!

Tutapita tutalike tutazima data tunakuwa out of Jf na maisha mengine.. haidhuru
Kumbe yapo mengi eeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Em andika basi binti Abby.

Wanatusemaga tu, wanawake hatupendani; ngoja leo tuambiane ukweli. Sio watu wanakuchezesha ngoma zao afu mdundo unazimikia kwako
Tunapendana once..
Ila tukishaonyesheana rangi za unafki basi mambo yote tafraniiii.
 
Back
Top Bottom