Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kesho nayo ni siku wapendwa
Mlale unono 😴😴😴
Nikapumzishe fuvu langu sasa!!!🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Wow mna discipline aisee
9 kg sio mbaya aisee hapo unafikia malengo yako

Vipi kuhusu food cravings aisee .. mnawezaje hapo ?
Food cravings hasa siku 4 za kwanza ndo huwa zinakatisha watu tamaa,, kichefuchefu, kichwa kuuma, concentration inashuka hzo zote ni symptoms za kitu kinaitwa keto flu,,huwa inafikia peak siku ya 3 au 4,, ukishinda hapo food cravings hutapata tena
 
Ooh hata ukifanya manual sio mbaya
Inahitajika uwe mwaminifu tu hapo la sivyo cheat days zinakuwa nyingi .
Alikuwa mkali tuliwekeana kula ndizi 2 kwa siku unaigawanya vipande 4,, c ndo nikala 3 nzima mbili zangu moja yake ahsubuh hyo weeeeeeee ugomvi ni kama amenikamata mmechepuka
 
Food cravings hasa siku 4 za kwanza ndo huwa zinakatisha watu tamaa,, kichefuchefu, kichwa kuuma, concentration inashuka hzo zote ni symptoms za kitu kinaitwa keto flu,,huwa inafikia peak siku ya 3 au 4,, ukishinda hapo food cravings hutapata tena
Oh so mchawi siku za mwanzoni tu baada ya hapo unaendelea bila shida .

Okay thanks I'm insipired kwa kweli
 
Oh so mchawi siku za mwanzoni tu baada ya hapo unaendelea bila shida .

Okay thanks I'm insipired kwa kweli
Ukishinda wiki ya kwanza ndo imetoka hyoo utaona ni kama maisha ya kawaida,, na ukawa unafanya cardio exercises total ya 180 minutes per week,, mwili huo unaisha,, shida ni maintainance ya huo mwili
 
Back
Top Bottom