Asante Nkamu.
Hapana haijahamishiwa sema nipo huku mpaka mwezi wa 6 mwishoni tutakua tushamaliza kilichotuleta.
Vyombo vinanisamehe Nkamu sioshi nisidanganye nimeosha sana utotoni acha now nipumzike
Mwanamke kuingia jikoni lazima, yes hua nasonga.
Nguo nafua maana sipendi kufuliwa hata za Mzee nafua nikiwepo Dar.