Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila siku huwa watu nawaambia, usiishi kwa kuwafurahisha watu wa nje, ishi ktk uhalisia wako na lililo ktk nafas yako kwa wakati husika.

Haya maisha ya watu watanionaje, nilishakataa na haitokuja kutokea kwangu.
santeeeeeeeh!!!😘😘😘
Hauna mbambamba kabisa!!
 
fundi analo !!
Tena ana muda mwingi wa kushona, mwezi mzima, na nimempa angalizo yeye awe buzzy na nguo za wengine afu ikikaribia kuchukua mie ndo ahangaike kunilipulia atavaa yeye na bibi yake, sitaki utani kabisaa, na nlimsisitiza sana, sasa yeye ajitoe ufahamu.
 
Tena ana muda mwingi wa kushona, mwezi mzima, na nimempa angalizo yeye awe buzzy na nguo za wengine afu ikikaribia kuchukua mie ndo ahangaike kunilipulia atavaa yeye na bibi yake, sitaki utani kabisaa, na nlimsisitiza sana, sasa yeye ajitoe ufahamu.
Atakua makini shos nasubiria huo mshono mie!!
 
Yule mama ni sababu ya kifo chake mwenyewe, na ni sababu ya kutosikia mashauri ya wakubwa na wenye hekima alifanya shingo yake kuwa ngumu, sehemu kubwa ya jamii iliyokuwa imezunguka hadi some pastors walimshauri alikuwa na sehemu kubwa ya kupata faraja kwasababu ukweli ulikuwa unajulikana hata kama watu wangekuwa wanaongea alikuwa na mahala kujifichia

Alafu ishi kutokana na thamani yako, thamani yako na uhai wako usiwe guided na walimwengu na maneno yao. Kafa kapata nini, watoto wanabaki wakiwaa.. Ukondoo mwingi ni hasara
Yeah sure. At the end of the day Kila mtu yupo responsible na maisha yake. If you decide you throw it away; hakuna wa kukuzuia.

Niliongelea tu partly of what nimeki-experience na hawa victims wa domestic violence. Wengi ni kuwaza kwamba nitaonekanaje nikiachika? One of my aunts; watoto wake ilibidi wamuondoe kinguvu kwa baba yao, ndiyo ikawa salama yake. Alipofikia ni ilikuwa tunasubiri tu taarifa ya msiba kwa kipigo au presha.

Kuna clip nimeiona ya send off ya binti anawaambia wazazi wake wasije wakamtupa kwa sababu tu ameolewa. In the sense wazazi wengi hata mtoto akija kuwalalamikia/kuamua kurudi nyumbani juu ya abuse anayoipata kwenye ndoa; ataishia kuambiwa "vumilia mwanangu, ndoa ndiyo zilivyo, rudi tu kwa mumeo". Siku ya siku wanaletewa mtoto kwenye jeneza.
 
Tena ana muda mwingi wa kushona, mwezi mzima, na nimempa angalizo yeye awe buzzy na nguo za wengine afu ikikaribia kuchukua mie ndo ahangaike kunilipulia atavaa yeye na bibi yake, sitaki utani kabisaa, na nlimsisitiza sana, sasa yeye ajitoe ufahamu.
Unamikwaaara.
Ngoja ujichanganye ukunjwe na ngumi juu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom