Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.
Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.