Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!


@Ngariba1View attachment 2242793View attachment 2242792
Kheeeeeh shouzzzzzz mbna ngozi imeharibika hivyo? Poleeeeh sana Dea.
 
Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.

Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.
Na sisi wenye allergy ya pua unatuambia Nini?


Mkuu Ngariba1 ,ile dawa ya allergy uliyosema ni Kwa ajili ya allergy ya vyakula tu?au Mimi pia naweza tumia allergy yangu ya pua!?!
 
Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.

Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.
Sasa mbona Tangu nizaliwe nilikua nakula imeanza kama 6 months ago tu yani tangu nizaliwe hadi thate plus yangu hii kuanzia hio majuzi kati Ndio nashangaa!!
 
Sasa mbona Tangu nizaliwe nilikua nakula imeanza kama 6 months ago tu yani tangu nizaliwe hadi thate plus yangu hii kuanzia hio majuzi kati Ndio nashangaa!!
Nimejaribu kufeel namna unawashwa.

Mimi kuna muda wakati wa kuoga nikijisugua sana mwili unawasha,unavimba
Pona yangu ni kukaa juani.

Sasa jua lisipokuwepo yaani🤣
Mwili wote unawaka moto.
 
Pole sana mkuu.
Ila niamini hauna allergy yoyote bali tatizo lako hili lipo kiroho zaidi mara nyingi hua ni chain inayoanzia toka kwa mababu huko. How? Kuna koo maybe mababu huko katika matambiko yao waliweka kitu fulani kisitumike kwenye familia/koo yao so mtu akitumia ndio inakua hivi. Kuna familia wao wakila nyama tu anaumuka mwili mzima hata kitandani haenei mpaka afanyiwe tena mila ndio anapona.

Haya mambo yapo sana Kwenye jamii zetu. Wazungu watakuambia ni Allergy ile wenye ufahamu wa mambo ya kiroho wanajus kabisa shida ipo kiroho Kuliko kimwili so inabidi utibiwe kiroho.
Why?....Mungu kamuumba Mwanadamu kikamilifu in all aspects na kila kilichoko kwenye mazingira yake kaagizwa akitumie na kukiongoza. So how come kwamba Mungu akuumbe na allergy ya kutokula nyama???
Kila kitu huanzia rohoni then kinakua Manifested mwilini, Shughulikia tatizo hili kiroho trust me utapona.
Wee nae acha porojo zako mmmh.
 
Nina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!


Ngariba1 View attachment 2242793View attachment 2242792
Pole sana
 

Eti ujo jwani ujo
Ujo mwakatobe ujo

Mganga wa kinyaki anawaagua wamakonde.

Nimecheka.View attachment 2242779

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mkurugenzi una hali gani huko uliko?
20220528_165949.jpg
 
Nina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!


Ngariba1 View attachment 2242793View attachment 2242792
Pole Boss Lady...
 
Nina allergy ya nyama... sasa nyama ya ng'ombe nikiikaanga ikakauka kabisa nikila haina shida si ugenini nimekuta ya mbuzi nikawaambia yangu waikaange ikauke kabisa weeeeeeeehhh ilichonifanya hapa tumbo linaumaaa nimevimba mwili mzima na kuwashwa mwili mzima
Sasa mwili unawasha tumbo linaumaaa gesi si gesi kuvimbiwa si kuvimbiwa kuhara si kuhara yaniii!!


Ngariba1 View attachment 2242793View attachment 2242792
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom