Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mara mojamojaa,nimempikia wife ka msosi anakopenda(mapishi ya kiumee),kumpongeza kwa ushindi,leo naona naitwa majina mazuri zuriii!!
Hongereni sanaa wana yanga.
 

Attachments

  • 20220528_203721.jpg
    20220528_203721.jpg
    274 KB · Views: 13
This is the way You Father me
I love the way You Father me
This is the way You Father me
I love the way You Father me can you feel His Fatherly love I love the way
I love the way You Father me
This is the way You Father me
I love the way You Father me yeah

😊😊😊😊 Lenie bye
Sleep well 😊
 
Eeh alikuwa anaandika ovyo sana
Mpaka sisi wengine tunaumia ..Simba ikishindwa tu huyo na tweet zake .
Anapenda mitandao huyu mbaba mpaka tiktok yupo
leo ndo amejua umuhimu wa kuchukua wachezaji wenye viwango, ubakhili sana huyu baba, yaan kanikera leo, sema tyuuh Record zinatubeba bado tuna tamba, vinginevyo leo tungekoma mtaaani.

Afanye usajiri wa maana. Tunataka msimu ujao hadi kombe la kuku tunyanyue kwapa.
 
leo ndo amejua umuhimu wa kuchukua wachezaji wenye viwango, ubakhili sana huyu baba, yaan kanikera leo, sema tyuuh Record zinatubeba bado tuna tamba, vinginevyo leo tungekoma mtaaani.

Afanye usajiri wa maana. Tunataka msimu ujao hadi kombe la kuku tunyanyue kwapa.
labda kombe la kuku wa mabua au cha kunywea maji
 
leo ndo amejua umuhimu wa kuchukua wachezaji wenye viwango, ubakhili sana huyu baba, yaan kanikera leo, sema tyuuh Record zinatubeba bado tuna tamba, vinginevyo leo tungekoma mtaaani.

Afanye usajiri wa maana. Tunataka msimu ujao hadi kombe la kuku tunyanyue kwapa.

Ah kwa kweli leo wameona umuhimu wa kuwa na striker pale msimbazi .
Hakika msimu ujao mambo yatakuwa mazuri zaidi tusubirie vitu vizuri .

Yeah Simba imepata mafanikio kwa miaka basi tunaringia hicho .. na pia tuna vibe hao wana msimbazi .

Ah lazima msimu ujao turudishe ushindi nyumbani ..
 
Ah kwa kweli leo wameona umuhimu wa kuwa na striker pale msimbazi .
Hakika msimu ujao mambo yatakuwa mazuri zaidi tusubirie vitu vizuri .

Yeah Simba imepata mafanikio kwa miaka basi tunaringia hicho .. na pia tuna vibe hao wana msimbazi .

Ah lazima msimu ujao turudishe ushindi nyumbani ..
Mwakani lazima furaha na burudani irudi msimbazi, wana jangwan wameshinda lakini hawana furaha kabisa, wakikumbuka record wanabaki kuwa wapolee,

Naamini Boss atafanya maajabu ya usajiri huyu mwaka. Wacha tusubiri.
 
Mwakani lazima furaha na burudani irudi msimbazi, wana jangwan wameshinda lakini hawana furaha kabisa, wakikumbuka record wanabaki kuwa wapolee,

Naamini Boss atafanya maajabu ya usajiri huyu mwaka. Wacha tusubiri.

Ah wana Simba hatuna shughuli ndogo kabisa
Tuna vibe hao .

Ah ngoja tusubiri tuone usajili utakuwaje next season.
 
Hahahha bora alivyonyamaza tu
Yasije kumpata kama yule dada

Ah Simba noma
Tutarudi tukiwa vizuri .
mashabiki wa Yanga huwa hawanisumbui kabisaa, tena wanakaa kwa kutulia, maana hawana cha kuniambia,

Na huwa nawaambia wakitaka waongee lugha 1 na mie, wafike ¼ final Champions league mara 2, na confederation cup mara 1.

Vinginevyo wakae chini na kuangalia wapi wanakwama, na wana vitu vya kujifunza kutoka kwa Simba.
 
mashabiki wa Yanga huwa hawanisumbui kabisaa, tena wanakaa kwa kutulia, maana hawana cha kuniambia,

Na huwa nawaambia wakitaka waongee lugha 1 na mie, wafike ¼ final Champions league mara 2, na confederation cup mara 1.

Vinginevyo wakae chini na kuangalia wapi wanakwama, na wana vitu vya kujifunza kutoka kwa Simba.

Ah hapo unawapatia aisee , unatuwakilisha vyema
Simba ndo babalao
 
Back
Top Bottom