Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujawahi kuona na mikono yetu ilivyo na vigimbi?

Kwa hiyo tukuandalie na unga wa ugali; matoke na wali hushibi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ugali Mama Mchungaji...

Matoke sijui wali hizo ni appetizer tu lakini main course ni ugali....

Itanoga zaidi ugali ukiwa mgumu kama jiwe.

Thenki yu fo yua kaindinesi
 
natoka porini,naenda mjini kwa kina ashura kupoza machungu ya maisha
IMG_20220520_143125.jpg
 
Back
Top Bottom