Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
App imesahaulika sanamtoto tunalifanyia kazi tulia basi 😅🥸🥸
Haya malalamiko tumeanza kutoa zamani.
Zaidi zaidi wakaona waondoe kabisa na option ya mutli quote🤣🤣🤣🤣🤣
App imesahaulika sanamtoto tunalifanyia kazi tulia basi 😅🥸🥸
Ona kwa mfano. Mkwepu Jr ndo anabisha hodi sasa hivi baada ya masaa 7. Mtu anaweza kukutag, kukukwoti au kukuita mahali akadhani umemuiginoa kumbe notification haijakufikia. Hovyo tu.....Hili la Pm lilikuwa linanikera zaidi.
Massesage yanabebana hovyo hadi unakosa hamu ya kuendelea kuandika.
Hii shida ya kugoma kuquote comments nyingi imenifanya hadi niache kujibu baadhi ya comments..maana watu kibao wamenipa pole.
Badala ikubali niquote wote kwa comment moja tu..eti jadi nianze kujibu mojamoja kitu kile kile!
Mi notifications ilikuwa inakuja ya juzi..sasa hivi inakuja ya masaa 7 na 14 yaliyopita.
Yaani akina Maxence Melo wanajua kutunyanyasa na hii App![]()
Ngoja nirudi kwanza town nikakuchukulie vitu fulani hivi, afu ndiyo nikuje sasa
Poleni sanaApp imesahaulika sana
Haya malalamiko tumeanza kutoa zamani.
Zaidi zaidi wakaona waondoe kabisa na option ya mutli quote🤣🤣🤣🤣🤣
Hivyo vigimbi vinatokana na nini? Vilima ama?
Uje ule na maparachichi sasa



Kwanza kama mkwepu amepitisha likes nyigi..huwezi kuziona zote.Ona kwa mfano. Mkwepu Jr ndo anabisha hodi sasa hivi baada ya masaa 7. Mtu anaweza kukutag, kukukwoti au kukuita mahali akadhani umemuiginoa kumbe notification haijakufikia. Hovyo tu.....View attachment 2240980
Mazingira mazuri na iyo milima!Ngoja nirudi kwanza town nikakuchukulie vitu fulani hivi, afu ndiyo nikuje sasa
Hujawahi kuona na mikono yetu ilivyo na vigimbi?Hivyo vigimbi vinatokana na nini? Vilima ama?
Mungu Akipenda nitafika Mama Mchungaji. Na maparachichi kama yote. Tuombe uzima tu
View attachment 2240984


Tulipita hapo na Baba mtumishi.
Hapa inabidi tukomae na Melo hadi atusikiePoleni sana
Yupo anawafanyia kazi masikitiko yenuu .. tulieni kwanza kama vipi amieni kwa brauzaHapa inabidi tukomae na Melo hadi atusikie
Moro mpendwaMazingira mazuri na iyo milima!
Ni sehemu gani hii ya Tanzania mkuu?
Wengine mwisho wetu wa kusafiri Ni hapo mlandizi.
Msingeweza kuniona🤣🤣Tulipita hapo na Baba mtumishi.
Ulikuwa hutaki kututumia picha..huwenda tungekuona hapo round about tutakupungia mkono.
Nimerudia Mara kadhaa kuangalia view.Moro mpendwa
Hapo ni mwendo wa kushushia na maji tu! Au ningepata ugali na nyama choma hapo!Mkuu naona hutaki shida, breakfast unashusha chips kabisa uingie mzigoni.


Dah! Aisee, siku inakwenda sawa bin sawia 

