Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha nimecheka aisee
Umeeleza vyema kabisa
Kiukweli ina faida yake sema ndo hivyo ni dhambi ... Inaondoa kisirani na gubu , kuna muda unaweza jikuta unamchukia mtu kumbe ni hali hiyo tu .
Pia kunichekesha ovyo kwa ke inatokea
Uko sahihi. Mara nyingi mwanaume ukiona ndani ya nyumba gubu, kisirani na dharau za rejareja zimeanza wala usiumize kichwa. Sometimes ni hormonal imbalances tu na ukipiga mikwaju ya uhakika unatatua tatizo kibabe, heshima inarudi na furaha kila kona. Hata kanga zilizoandikwa "Mapigo unayonipa mpaka mbengo zinafongoka" utavaliwa yaani
 
Samahani km nimekukwaza Mr, kutoka ndani ya moyo wangu naomba unisamehe, najua nimekosea na haijawa sahihi kwa jinsi nilivyo react, plz naomba nisamehe.

Ila jaman msivuke mipaka ktk kunizungumzia, hata mie nakasirika na sometimes naumia, mapungufu na madhaifu yangu yasifanye mnidharau kupita kiasi, hata mkiwa mnani dharau sio lazima mnioneshe wazi wazi, kujitoa kwangu ufahamu hapa ndani sio ticket ya nyie mnikejeli na kunidharau hivyo, kuna muda nakua serious na nakua smart na upstairs kuliko mnavyodhani.

Naomba unisamehe Mr, na polee kwa kuondokewa na mzazi wako. Huyo.
Jah aendelee kumtunza na kumuhifadhi huko aliko.
Mwanga wa milele umuangazie daima, Ameeeeeeen!!!!!
That's ma genius sweet shostieee!! 😘😘😘Kaa hapo nikupe vocha Halotel kwanza hii imenikoshaaaa♥️
 
Uko sahihi. Mara nyingi mwanaume ukiona ndani ya nyumba gubu, kisirani na dharau za rejareja zimeanza wala usiumize kichwa. Sometimes ni hormonal imbalances tu na ukipiga mikwaju ya uhakika unatatua tatizo kibabe, heshima inarudi na furaha kila kona. Hata kanga zilizoandikwa "Mapigo unayonipa mpaka mbengo zinafongoka" utavaliwa yaani


Saint Anne Mwakaseghe

Pitia hapa
 
Uko sahihi. Mara nyingi mwanaume ukiona ndani ya nyumba gubu, kisirani na dharau za rejareja zimeanza wala usiumize kichwa. Sometimes ni hormonal imbalances tu na ukipiga mikwaju ya uhakika unatatua tatizo kibabe, heshima inarudi na furaha kila kona. Hata kanga zilizoandikwa "Mapigo unayonipa mpaka mbengo zinafongoka" utavaliwa yaani
Mkwe
 
Samahani km nimekukwaza Mr, kutoka ndani ya moyo wangu naomba unisamehe, najua nimekosea na haijawa sahihi kwa jinsi nilivyo react, plz naomba nisamehe.

Ila jaman msivuke mipaka ktk kunizungumzia, hata mie nakasirika na sometimes naumia, mapungufu na madhaifu yangu yasifanye mnidharau kupita kiasi, hata mkiwa mnani dharau sio lazima mnioneshe wazi wazi, kujitoa kwangu ufahamu hapa ndani sio ticket ya nyie mnikejeli na kunidharau hivyo, kuna muda nakua serious na nakua smart na upstairs kuliko mnavyodhani.

Naomba unisamehe Mr, na polee kwa kuondokewa na mzazi wako. Huyo.
emoji25.png
emoji25.png
emoji25.png

Jah aendelee kumtunza na kumuhifadhi huko aliko.
Mwanga wa milele umuangazie daima, Ameeeeeeen!!!!!
That's ma genius sweet shostieee!! 😘😘😘Kaa hapo nikupe vocha kwanza hii imenikoshaaaa
 
Uko sahihi. Mara nyingi mwanaume ukiona ndani ya nyumba gubu, kisirani na dharau za rejareja zimeanza wala usiumize kichwa. Sometimes ni hormonal imbalances tu na ukipiga mikwaju ya uhakika unatatua tatizo kibabe, heshima inarudi na furaha kila kona. Hata kanga zilizoandikwa "Mapigo unayonipa mpaka mbengo zinafongoka" utavaliwa yaani
Hakika
Hapo unakuwa umetatua tatizo kabisa hizi ,hormone hizi zinatuendesha vibaya Na ni vyema kujua mtu huyo jinsi alivyo
 
Back
Top Bottom