cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,269
Ndio shos mie humu siwawezi mwenzio!! Nakomaa na mrashia mie Sitaki sitiresi za rejareja kabisa!!





shouzzzzzz nacheka hapaa, sina mbavu woiiiiiiih.Mbishi sana weweYaani itoe bifu?
Haiwezekani

Inshallah naona kesho nitakuwa mjumbe mapema Sana nikohapaMkuu bahati si yako
Nikikuwekea hapa mara 2 zote wakacbukua
Sasa hivi niko kwa bed tayari tukijaliwa kesho riziki ikipatikana tumuombe Mungu

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yan kuna watu hawaonekani n wako fasta, wee acha tu. Wamenifanya na me niwe fastaNaona umekuwa mjanja sasa akili imekukaa sawa badala ya kujaza moja moja, una copy tu sijui umejifunza wapi🤣😂😂😂
HahahaAh wapi 😂😂😂
Woyoooooooooh!!!weeeeeeeehhh weeeeeeeehhh wwweeeeuuuuuweeeeeeeeeeeeeeeehhhhh!!![]()
Cheka utanue mapafu shos angu maisha matramu haya weeeh!!!shouzzzzzz nacheka hapaa, sina mbavu woiiiiiiih.
Mr vocha mkeo ana raha sana!! Huna tabu na mtu kabisa na unatoa kwa moyo mweupeeeee kabisa!!!!!!
Mungu akuzidishie maradufu mr Vocha wetu selfika!!









mr Vocha hoyeeeeeh🙏🙏🙏Mr vocha mkeo ana raha sana!! Huna tabu na mtu kabisa na unatoa kwa moyo mweupeeeee kabisa!!!!!!
Mungu akuzidishie maradufu mr Vocha wetu selfika!!
Aya sasa mshikane mikono na mkumbatianeSamahani km nimekukwaza Mr, kutoka ndani ya moyo wangu naomba unisamehe, najua nimekosea na haijawa sahihi kwa jinsi nilivyo react, plz naomba nisamehe.
Ila jaman msivuke mipaka ktk kunizungumzia, hata mie nakasirika na sometimes naumia, mapungufu na madhaifu yangu yasifanye mnidharau kupita kiasi, hata mkiwa mnani dharau sio lazima mnioneshe wazi wazi, kujitoa kwangu ufahamu hapa ndani sio ticket ya nyie mnikejeli na kunidharau hivyo, kuna muda nakua serious na nakua smart na upstairs kuliko mnavyodhani.
Naomba unisamehe Mr, na polee kwa kuondokewa na mzazi wako. Huyo.
Jah aendelee kumtunza na kumuhifadhi huko aliko.
Mwanga wa milele umuangazie daima, Ameeeeeeen!!!!!

huo ndo uungwana CocaNianze tuUna bifu na Ex wako
Sio bure
Houuuyyyyyyyyyyeeeeeeeeehhhhhhhhhh!!😘mr Vocha hoyeeeeeh
InshaaAllah🙏🙏Inshallah naona kesho nitakuwa mjumbe mapema Sana nikohapa![]()