Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Yaani itoe bifu?Hahahaha nimecheka aisee
Umeeleza vyema kabisa
Kiukweli ina faida yake sema ndo hivyo ni dhambi ... Inaondoa kisirani na gubu , kuna muda unaweza jikuta unamchukia mtu kumbe ni hali hiyo tu .
Pia kunichekesha ovyo kwa ke inatokea
Haiwezekani






