Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Mtoa ushauri ni Wige?Hahah Anne sikiliza ushauri hapa![]()
Huwa nasikia hii inasaidia pia



Mtoa ushauri ni Wige?Hahah Anne sikiliza ushauri hapa![]()
Huwa nasikia hii inasaidia pia



Wee ndo ulozidisha mazoea, au nilishawahi kulisema hilo kabla?au kuna siku niliwahi kusema hilo kwa namna yeyote? Na unajua no kwan nlisema hivyo?Hata mimi sikujua mkizoeana humu mnaweza kuvunjiana adabu ivo aisee Allahu aalam
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ni lipi hilo?Ushaambiwa tafuta
Suluhisho la kudumu
Unaneng'eneka tu

Aww dearie thanksWoyooooooooh!!!!
Lips
Shingo
Mashavu
![]()
Nimecheka kama chizi..😂!shouga vipi?
Mtoa ushauri ni Wige?![]()
Ndo ukashindwa kundharau mimi ukamdharau mzazi wangu seriously?Wee ndo ulozidisha mazoea, au nilishawahi kulisema hilo kabla?au kuna siku niliwahi kusema hilo kwa namna yeyote? Na unajua no kwan nlisema hivyo?
Huwa sitaki dharau za reja reja, mie mwenyewe nina dharau sana. Na hapo nimekiheshimu sana.
Endelea kumwaga samare.
Shika shika tu sema usivute alafu nzuri ukitaka kuomba helaachomoi hapo unatak kuwa ashura mama Junia
cocastic uje utusaidie mwaya



AkiyananiEeh ndo yeye

Awwh thanksKapolee
Majina yote unayafahamuMatumizi ya ndevu![]()

Wacha nipambane nahali yangu huku kitaa tu mr Vocha!!😉Niko tayari kujitoa jf madam 🙈🙈
Ah wapiAwwh thanks
Japo naongea huyo![]()
Unashida gani nilipitwaNi lipi hilo?
Nisaidie
Mafuta ya lemon hayajanisaidia.
Nothn lad,, nothn at allNini wee?
Usipige teke bahatiWacha nipambane nahali yangu huku kitaa tu mr Vocha!!![]()
Dark spots usoniUnashida gani nilipitwa

Halafu nimekumbuka Wige una uchebe kama woteeee.. Naomba umfundishe Saint Anne matumizi ya ndevu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!🙏🙏Majina yote unayafahamu![]()