Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata mimi sikujua mkizoeana humu mnaweza kuvunjiana adabu ivo aisee Allahu aalam

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Wee ndo ulozidisha mazoea, au nilishawahi kulisema hilo kabla?au kuna siku niliwahi kusema hilo kwa namna yeyote? Na unajua no kwan nlisema hivyo?

Huwa sitaki dharau za reja reja, mie mwenyewe nina dharau sana. Na hapo nimekiheshimu sana.
 
Wee ndo ulozidisha mazoea, au nilishawahi kulisema hilo kabla?au kuna siku niliwahi kusema hilo kwa namna yeyote? Na unajua no kwan nlisema hivyo?

Huwa sitaki dharau za reja reja, mie mwenyewe nina dharau sana. Na hapo nimekiheshimu sana.
Ndo ukashindwa kundharau mimi ukamdharau mzazi wangu seriously?

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom