Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,522
- 235,245
Mtoa ushauri ni Wige?[emoji23][emoji23][emoji23]Hahah Anne sikiliza ushauri hapa [emoji1787]
Huwa nasikia hii inasaidia pia
Mtoa ushauri ni Wige?[emoji23][emoji23][emoji23]Hahah Anne sikiliza ushauri hapa [emoji1787]
Huwa nasikia hii inasaidia pia
Wee ndo ulozidisha mazoea, au nilishawahi kulisema hilo kabla?au kuna siku niliwahi kusema hilo kwa namna yeyote? Na unajua no kwan nlisema hivyo?Hata mimi sikujua mkizoeana humu mnaweza kuvunjiana adabu ivo aisee Allahu aalam
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ni lipi hilo?Ushaambiwa tafuta
Suluhisho la kudumu
Unaneng'eneka tu
Aww dearie thanksWoyooooooooh!!!!
Lips
Shingo
Mashavu
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji4]
Nimecheka kama chizi..😂![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] shouga vipi?
Mtoa ushauri ni Wige?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ukashindwa kundharau mimi ukamdharau mzazi wangu seriously?Wee ndo ulozidisha mazoea, au nilishawahi kulisema hilo kabla?au kuna siku niliwahi kusema hilo kwa namna yeyote? Na unajua no kwan nlisema hivyo?
Huwa sitaki dharau za reja reja, mie mwenyewe nina dharau sana. Na hapo nimekiheshimu sana.
Endelea kumwaga samare.[emoji23][emoji23][emoji23]
Shika shika tu sema usivute alafu nzuri ukitaka kuomba hela[emoji23][emoji23][emoji3] achomoi hapo unatak kuwa ashura mama Junia[emoji23]
cocastic uje utusaidie mwaya
Akiyanani [emoji1787]Eeh ndo yeye
Awwh thanksKapolee
Majina yote unayafahamu[emoji848]Matumizi ya ndevu[emoji23]
Wacha nipambane nahali yangu huku kitaa tu mr Vocha!!😉Niko tayari kujitoa jf madam 🙈🙈
Ah wapiAwwh thanks
Japo naongea huyo [emoji23]
Unashida gani nilipitwaNi lipi hilo?
Nisaidie[emoji3064]
Mafuta ya lemon hayajanisaidia.
Nothn lad,, nothn at allNini wee?
Usipige teke bahatiWacha nipambane nahali yangu huku kitaa tu mr Vocha!![emoji6]
Dark spots usoni[emoji3064]Unashida gani nilipitwa
Shangazi wee nae, huyo mama mtumishi, atazivuta km anang'olea mpunga majarubani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Shika shika tu sema usivute alafu nzuri ukitaka kuomba hela[emoji23][emoji23][emoji3] achomoi hapo unatak kuwa ashura mama Junia[emoji23]
cocastic uje utusaidie mwaya
Halafu nimekumbuka Wige una uchebe kama woteeee.. Naomba umfundishe Saint Anne matumizi ya ndevu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!🙏🙏Majina yote unayafahamu[emoji848]