Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Inasikitisha sanaYes ni dereva wa bus la Songea - Dar.
Inasikitisha sanaYes ni dereva wa bus la Songea - Dar.
Mungu amkumbatie na kumtia nguvuYaani [emoji3064]
Nimejaribu kuwaza wakati anaopitia🥲
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Junia anasema eti selfika basi alale😏😏Akikosa mtu wa hili kabila imekula kwake[emoji2]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Selfie zote ameshikilia Junia na baba mtumishiJunia anasema eti selfika basi alale😏😏
AmenMungu amkumbatie na kumtia nguvu
Halafu we unasema dunia iishe tu, kuna watu wana mitihani duniani, tumshukuru Mungu kwa kila jambo.Na familia inamtegemea.
Watoto wake watatu wadogo na mama yake.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mimi nimeshajiwahi...Akikosa mtu wa hili kabila imekula kwake[emoji2]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Na mimi ninayo yangu ila nilioupata ulinipiga penyewe[emoji3064].. nashindwa kuukubali.Halafu we unasema dunia iishe tu, kuna watu wana mitihani duniani, tumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Kabisa yaani..Mimi nimeshajiwahi...
Nina Mkurugenzi wangu sina shida miye [emoji1727][emoji1727][emoji1727][emoji1727][emoji1727][emoji1727][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sis hatareee mno.Mimi ndio siendanagi na kadegree kangu[emoji23]
Na nilivyo na mwili mdogo,na pigo zangu za kwa Mwamposa.
Ukinikuta nacheza na watoto ama nipo nafanya usafi church.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasa msibani jaman mnajua kulia, kheeeeh mnalia nyie afu kwa hisia lazima mwingne aunge tela.Ndiyo maana kwenye list ya marafiki zzko usikose mnyaki; tutalia na wewe kwenye shida zako[emoji57][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akikosa mtu wa hili kabila imekula kwake[emoji2]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mnooo.Inasikitisha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Selfie zote ameshikilia Junia na baba mtumishi
Kufariji ni talanta tuliyopewa na Mungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasema uongo ndugu yangu Coca?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We acha tu...Halafu we unasema dunia iishe tu, kuna watu wana mitihani duniani, tumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Pole sana.Na mimi ninayo yangu ila nilioupata ulinipiga penyewe[emoji3064].. nashindwa kuukubali.
Nimemuonea huruma maana nimevuta picha maumivu aliyopata na anayoendelea kupata..
Yaani ajali ni mbaya[emoji3064],,viungo hata vikirudi,haviwezi kuwa the same kama mwanzo.
Mimi almanusura gari liondoke na kichwa Changu [emoji2]hadi leo hakipo sawa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Miye ni ile ngoma yao ya kujiburuza chini wanayochezaga kwenye harusi. Huwa inanikosha sana. Kwenye harusi ya Kinyaki hunikosi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasa msibani jaman mnajua kulia, kheeeeh mnalia nyie afu kwa hisia lazima mwingne aunge tela.
Lilikwanguaga tu karibu na kichwa😂Pole sana.
Unahisi headaches, una TBI?