cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Yaan hata huwa sijui wanawaza nn khaaahHapo anajiona mwamba imara.
Yaan hata huwa sijui wanawaza nn khaaahHapo anajiona mwamba imara.
Dada Halima, namfahamu vyema mnooo, had nlikua na no yake, sema nlipoteza, ni driver mzuri sana, sema siku ya tukio haikua bahati kwake, na ajari haina kinga.Leo nimejikuta natafakari sana kuhusu huyu mwanamama.
Roho ikaumia...simjui though
Ila Mungu wa Mbinguni amponye,amtunze.
Nikajikuta namuombea.View attachment 2238745
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




hufanani na beki tatu, kesho utachelewa kazini.



























.Mdogo angu wanyaki sisi. Chozi langu huwa lipo hapaaaaIlibidi umnyamazishe nawee.
Kuna hela za conference wanapataYaan hata huwa sijui wanawaza nn khaaah

Maisha haya....Leo nimejikuta natafakari sana kuhusu huyu mwanamama.
Roho ikaumia...simjui though
Ila Mungu wa Mbinguni amponye,amtunze.
Nikajikuta namuombea.View attachment 2238745
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mimi naandika tu humu michozi ishanitoka kitambo hadi nabanwa na mafua.Ujane mbaya jamani. Juzi nilipita dukani kwa aunt yangu; nikamkuta amejiinamia analia maskini (ukimkuta analia mara nyingi ni amemmiss marehemu uncle; huwa tunamjua). Alivyoniona ni kama akawa anajikaza asilie ila machozi yakawa yanashuka tu taratibu. Sasa si unatujua wanyaki na kulia; nikaunga tela
Akiyanani
Au majina haya yanawatisha??ndio maana wengine hamtusapoti na vocha
Kuna siku tutakuja kuzimia njaa hapa mjue watu tunasota mtaani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







Nimepekua interviews zake kadhaaDada Halima, namfahamu vyema mnooo, had nlikua na no yake, sema nlipoteza, ni driver mzuri sana, sema siku ya tukio haikua bahati kwake, na ajari haina kinga.
Kapoteza mkono, nimelia sana yaam mie. JAH amponye na kumpa tumaini tena.
Afu sijui kwan mko emotional mnoo, hadi wakaka wa kinyaki yaan kheeeh,Mdogo angu wanyaki sisi. Chozi langu huwa lipo hapaaaa
Oh kumbe ni dereva, inasikitisha.Dada Halima, namfahamu vyema mnooo, had nlikua na no yake, sema nlipoteza, ni driver mzuri sana, sema siku ya tukio haikua bahati kwake, na ajari haina kinga.
Kapoteza mkono, nimelia sana yaam mie. JAH amponye na kumpa tumaini tena.
Ni dereva wa mabus makubwa ya mkoani.imekuwaje
Jah ashukiriwe yeye.Nimepekua interviews zake kadhaa
Yaani nimejikuta naumia mno..
Ile picha imeniumiza mno.
Ila ashukuriwe Mungu amemuachia uhai.
Hilo ni la muhimu kuliko yote .
Na Yeye Mungu anajua namna gani atamtunza.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yes ni dereva wa bus la Songea - Dar.Oh kumbe ni dereva, inasikitisha.
na kazi hatoendelea, mtihani sana, inasikitisha sana.Ni dereva wa mabus makubwa ya mkoani.
Amepata ajali juzi na bus la Super Feo route ya Songea Dar nadhani via Mtwara.
Amekatika mkono.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mimi ndio siendanagi na kadegree kanguwatuache kabisaa,. Wengine bila madesa tungedharaurika mnooo.
Utaskia "usimuone hivyo wala usimdharau ana Elimu huyo" hapo sasa navimba mie nusu nipasuke. Woiiiiiiih

Ndiyo maana kwenye list ya marafiki zzko usikose mnyaki; tutalia na wewe kwenye shida zakoAfu sijui kwan mko emotional mnoo, hadi wakaka wa kinyaki yaan kheeeh,






Na familia inamtegemea.na kazi hatoendelea, mtihani sana, inasikitisha sana.
Akikosa mtu wa hili kabila imekula kwakeNdiyo maana kwenye list ya marafiki zzko usikose mnyaki; tutalia na wewe kwenye shida zako
Sent using Jamii Forums mobile app

YaaniMaisha haya....
