Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siyo kwa zile assignment.
Yaani imebaki wiki moja kuingia UE jamaa bado amekomaa nazo tu.
Tena ni za kupresentyule mwamba
Akiyanani nilihisi shule inanishinda.

Kumbuka tulicover mambo yoote tuliyotakiwa kusoma Kwa miezi miwili.
afu utaskia mtu cheti n karatasi tyuuh, kwann naye asichukue akasafishie haja yake.

Nakerekwa mie.
 
Yaani
Unakuta hata nyingine hamjadiscuss kufumba na kufumbua alishaachia nyingine, Cr anaituma kwenye group
Watu walikuwa wanatukana..
yaan tena hapa chuon. Kuna mtindo wa kukomoana, kwenye matokeo sasa UE kheeeh mbna ni hatareee, yaan lect ana feel prouds theluth ya class kuwa na supp.

Msieeeeew.
 
afu utaskia mtu cheti n karatasi tyuuh, kwann naye asichukue akasafishie haja yake.

Nakerekwa mie.
Akachukua chake aone.

Mimi nayaheshimu sana haya makaratasi yangu

Nilihaso aisee..kuna muda nikawa nahisi shule inanishinda..niliwaza nikifeli nitakuwa mgeni wa nani mimi.
Hapo wazee wamejipiga wee ili mimi niende shule.
 
Sasahivi namuonea huruma mama yangu tu,najikuta natamani kuendelea.

Nje na hapo,,siogopi chochote tena🤣
Ujane mbaya jamani. Juzi nilipita dukani kwa aunt yangu; nikamkuta amejiinamia analia maskini (ukimkuta analia mara nyingi ni amemmiss marehemu uncle; huwa tunamjua). Alivyoniona ni kama akawa anajikaza asilie ila machozi yakawa yanashuka tu taratibu. Sasa si unatujua wanyaki na kulia; nikaunga tela
 
Leo nimejikuta natafakari sana kuhusu huyu mwanamama.
Roho ikaumia...simjui though

Ila Mungu wa Mbinguni amponye,amtunze.
Nikajikuta namuombea.
FB_IMG_1653485666927.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Akachukua chake aone.

Mimi nayaheshimu sana haya makaratasi yangu

Nilihaso aisee..kuna muda nikawa nahisi shule inanishinda..niliwaza nikifeli nitakuwa mgeni wa nani mimi.
Hapo wazee wamejipiga wee ili mimi niende shule.
watuache kabisaa,. Wengine bila madesa tungedharaurika mnooo.

Utaskia "usimuone hivyo wala usimdharau ana Elimu huyo" hapo sasa navimba mie nusu nipasuke. Woiiiiiiih
 
Ujane mbaya jamani. Juzi nilipita dukani kwa aunt yangu; nikamkuta amejiinamia analia maskini (ukimkuta analia mara nyingi ni amemmiss marehemu uncle; huwa tunamjua). Alivyoniona ni kama akawa anajikaza asilie ila machozi yakawa yanashuka tu taratibu. Sasa si unatujua wanyaki na kulia; nikaunga tela
Ilibidi umnyamazishe nawee.
 
Back
Top Bottom