Poleee
Nimepitwaaah.
Nimepitwaaah.
Naona ulikuwa kushangaa yudizim yako hadi picha zinakupitah shous!






nilikua nafanya assgnment.Ahsanteeeeh.Poleee
Aiseeekesho natuma yenye emoji kidogo.
kweli nimekuahidi.
Irudiwe muda huusophy27 shangazi wee nae sasa aaah, ungenambia nisitoke, mwenzio nna mambo mengi mnoo, situlii pa1, bas kesho asubuh niwekee.
Jack palladino ameachia assignment?nilikua nafanya assgnment.
"In all things God works for the good of those who love Him, who have been called according to His purpose"Tumshukuru kwa kila jambo, yeye ni mkamilifu, hafanyi makosa, ni yule yule habadiliki na anakamilisha ahadi zake.
Mathayo 5:48, Basi ninyi iweni wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
Zaburi 18:30-32. Huyu Mungu matendo yake hayana dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia usalama.
🙏 🙏
kweli keho nafanya vitu, hebu nibariki na selfieAiseee
Wanawake tumeumbwa matesooo
Matesooo kuhangaikaaaa!
Kuomba kote huku bado naahidiwa yenye emoj🤦♀️
Sijui na mimi nianze kutukana kama jamaa "JamiiForums shit"😄
Acheni uvivuJack palladino ameachia assignment?
Kuna ticha alikuwaga na mambo ya kiwaki...alitoaga assignment hata 50 zinavuka
Imagine ile semester ilikuwa miezi 2..kipindi cha covid.
Afu jamaa mnashinda mnafanya assignment zake kisa tu naye anasoma kwahiyo anachukulia assignment zetu uwanja wa kujisomea![]()
🙏 🙏"In all things God works for the good of those who love Him, who have been called according to His purpose"
Nakuelewa. Mwanzoni kunakuwaga na mawazo magumu sana kwa sababu ya uchungu. But with time; yataisha tu na utapata kiu ya kuendelea kuishi.Dunia iishe tufunge hesabu tu
kuna watu wa kusema haya maneno na hutoshangaa, lakini huendani.Dunia iishe tufunge hesabu tu



mda huyu kalala yaan.Chaaaaah!kweli keho nafanya vitu, hebu nibariki na selfie
Jack palladino ameachia assignment?
Kuna ticha alikuwaga na mambo ya kiwaki...alitoaga assignment hata 50 zinavuka
Imagine ile semester ilikuwa miezi 2..kipindi cha covid.
Afu jamaa mnashinda mnafanya assignment zake kisa tu naye anasoma kwahiyo anachukulia assignment zetu uwanja wa kujisomea![]()






kuna huyu baba jaman sijui ndo stress, yaan assignment had 10 kwa mkupuo, mie ananiboaga sana. 




Siyo kwa zile assignment.
wivu wa nn? Mkome kutupa assgnment kila siku, tunatumia ubongo sio engine khaaaah.






Zangu zipo telee hapa lect,



Yaani 🔥kuna huyu baba jaman sijui ndo stress, yaan assignment had 10 kwa mkupuo, mie ananiboaga sana.
Tulivyomdukua tukaja jua hana mke, tukasema ndo maan ana haha na kutukomoa sie, lenyewe linaona sifa.
Utaskia "hamjaja hapa kushangaa fly over"
Linaniboa mnooo mie.