Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Sikupingi mkuuMzee wa kazi![]()

Sikupingi mkuuMzee wa kazi![]()

Sidhani kama ni hivyo,Sikuwa targeted person
Yaani wewe haah!Picha ipo kwenye avatar.
Haina hata emoj.
Uachage kumkosea Mungu ee shukuru jinsi ulivyo ilimpendeza yeye rafiki
Bora hata wewe una uzungu wa mchongo..
Wengine hata huo wa mchongo umegoma.
Nothing serious..Uachage kumkosea Mungu ee shukuru jinsi ulivyo ilimpendeza yeye rafiki
Ahaaa hapo sawaNothing serious..
Huwa tunataniana tu.
ndio naamka hapa 😅😅Usilale kwanza
Muarabu wapi? Huyu mbna km m1 wa, kundi la Osama. Woiiii,![]()


mie simo."Kitambi noma" wapi una mwili mwembamba hivyo bosi halafu toli? BMI yako si ajabu hata haizidi 20!


Usije ukatufukuzia na huyo mwarabu wetu kama ulivyotufukuzia Mr. Big maana nawe mjukuu kwa kukandia dah!Muarabu wapi? Huyu mbna km m1 wa, kundi la Osama. Woiiii,![]()



Ilikuwa siku ya wajomba weupe mahendisamu shangazi. Ndo maana niliogopa kutimiza ahadi yangu maana kwa sura hii ya Kibantu dah!Leo ni siku ya wajomba ...
![]()



"Kitambi noma" wapi una mwili mwembamba hivyo bosi halafu toli? BMI yako si ajabu hata haizidi 20!
Leo nilikwenda kwenye annual physical yangu daktari ana kiranga huyu mama anataka nipunguze kilo 10 mpaka Juni 30. Hataki kabisa kuona ninakula ugali. Yaani hapa hata raha sina maana maisha bila ugali dah!
Nishirikishe mazoezi ya kuondoa hizi kilo 10 zisizohitajika mkuu ili nirudi kwenye kula ugali tena![]()
Muda huo nilikua naota ndoto ya 7 mie😃ndio naamka hapa 😅😅
Ilikuwa siku ya wajomba weupe mahendisamu shangazi. Ndo maana niliogopa kutimiza ahadi yangu maana kwa sura hii ya Kibantu dah!
Kukiwa na siku ya wajomba dark and ugly nishtue pulizi!![]()


"Kitambi noma" wapi una mwili mwembamba hivyo bosi halafu toli? BMI yako si ajabu hata haizidi 20!
Leo nilikwenda kwenye annual physical yangu daktari ana kiranga huyu mama anataka nipunguze kilo 10 mpaka Juni 30. Hataki kabisa kuona ninakula ugali. Yaani hapa hata raha sina maana maisha bila ugali dah!
Nishirikishe mazoezi ya kuondoa hizi kilo 10 zisizohitajika mkuu ili nirudi kwenye kula ugali tena![]()
Ilikuwa siku ya wajomba weupe mahendisamu shangazi. Ndo maana niliogopa kutimiza ahadi yangu maana kwa sura hii ya Kibantu dah!
Kukiwa na siku ya wajomba dark and ugly nishtue pulizi!![]()
Kuna mmoja amepost huko juu ni funga kazi
Vidole vya dhahabu nkamu❤❤Choose day