Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
Hahaha jamani
Hahaha jamani
Mkurugenziiiiii !!!Ameanza kunihujumu tangu asbh
Sikuwa na bando,akaja kuniquote akaweka vocha
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




Sina tena deni mimi 😀Irudiweeeeee
Irudiweee
Nacheza mpirasana aisee View attachment 2235917
Inakuja ya kwako best 😅Mjomba si tulikubaliana kwa majaliwa?
Ungepitishia huko ingekua poa sana![]()
Siyo vizuri, usifanye hivyoo😭😭😭😭Sina tena deni mimi 😀
Asante madam wewe pia ni mrembo sanaMamy wewe ni mzuri sana afu una sura ya upole na ukimya!!Ni shombe shombe wewe mzuri mnooooo!!
💞💞💞💞
Mm sijaona bhanaAsante madam wewe pia ni mrembo sana



Na wewe selfika basi umefuta haraka na emoj ni kubwa mnooooMm sijaona bhana
Braza na wewe umeona neema za Allah😅Jizazi !!!![]()
Nipe hiyo kazi for 6 months,,, utataka kukonda tenaNipo hapa...ila mwili ndio umegoma kabisa.

Asante mjomba![]()