Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,556





afu eti yeye anaulizia gari yake km ipo hali nzuri, mweeeehJmn mbona nimeficha USO tu mpendwa?Punguza emoj tina
Ila uko![]()
Duh so sadmawardat
Mlongo ona hapa, afu kumbe hii gari ni mpya kabisaa, na leo ndo ilikua inazinduliwa, afu ilikua ni buree hakna nauli.
Jaman huyu mbena atamaliza wangoni, khaaaah wee ajari ni gari zake tyuuh, au ndo km tetesi zinavyosikika, naamini sasa na mie.
afu eti yeye anaulizia gari yake km ipo hali nzuri, mweeeeh
Dereva kavunjika mkono, konda na tingo wamepata majeraha makubwa na wengine pia.
Uwiiiioih had naogopa kusafiri.
View attachment 2234756
Ulipotea
Kabisaaa![]()
MWAKASEGE (MANA MINISTRY)
➖MWONGOZO WA GROUP HILI :- 👉🏼https://bit.ly/MwongozoTelegramMANA ➖FUATANA NASI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII: FACEBOOK, INSTAGRAM, YOUTUBE NA TELEGRAM KWA LINK HII:- 👉🏼https://bit.ly/33X8PSb 📧info@mwakasege.org 🔮www.mwakasege.orgt.me
Mwakasege is a excellent teacher of the Word...and a humble one![]()
Pole kwa heka heka za ujenzi wa taifaSijambo mjomba...
Ni majukumu ya ujenzi wa taifa tu...
Sijui wewe u hali gani?



Shangazi nini tena 😅😅😅Mjombaaa si unaona ulivyotoka poa....
![]()

Huwa napata kila kitu cha Mwalimu katika hilo group lake la Telegram yaani word to word kwa kila semina yake.Kabisaaa