Anointing, Anointed, Mantle, Gifts, Spirit, Glory, Presence 🔥🔥🔥🔥 Njoo uniombee mtumishi 🤭🤭Safi
Mungu ni mwema sana
Tumepata anointing ya maandalizi kwa ajili ya kutumika shambani mwa Bwana!
#mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache#
🫣🫣🫣🫣 jamani nini niniUmependeza mnoo mnooooo baba pasta!!
Mi alipo,nipo!Huwa napata kila kitu cha Mwalimu katika hilo group lake la Telegram yaani word to word kwa kila semina yake.
Kuna wakati hata huwa sioni umuhimu wa kwenda kanisani yaani.
Ni mwalimu mzuri sana!
Ulipotea
Miss u
No,bado niko kwenye maandalizi mtumishi!Anointing, Anointed, Mantle, Gifts, Spirit, Glory, PresenceNjoo uniombee mtumishi
![]()
Niliona niliona...ulinouga hatareeee✌️✌️😉🫣🫣🫣🫣 jamani nini nini
Duh na leo nimepitwaa jmnAsante baba pasta!!
madamPole kwa heka heka za ujenzi wa taifa
Mimi sijambo kabisa...
Ndo nimetoka kwenye ibada hapa...
Yaani full upako...
Yesu Akitokea sasa hivi mawinguni haki ya nani natoboa
Mungu Atubariki shangazi![]()


Tena Imekaa sana jamani!Duh na leo nimepitwaa jmnmadam
Unarushwa rohoo hamna kitu nimepost 😅😅
😅😅😅🌝 acha basi.. tule zetu rahaaNdani ya jumba😍
Looking smart babaa FIB
Weeeehhhh..teinaahhhh usimdanganye mama mchungaji umetupia kitu kimoja matata sana!Unarushwa rohoo hamna kitu nimepost 😅😅
Jmn nilikuwa kwenye semina looTena Imekaa sana jamani!
Mala moja moja tunavunja kabati, kesho ndio itakuwa funga kazi , maana kuna mahala naendaYaanii mjomba ulivyopendeza sasa![]()
Urudie kwa ajili yangu ,sikubaliMala moja moja tunavunja kabati, kesho ndio itakuwa funga kazi![]()
Ah tumeona UncleUnarushwa rohoo hamna kitu nimepost![]()