cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,158
- 181,227
Nop! huwezi furahisha watu kwa lugha kali au lugha za matusi .. ucheshi sio lazima utumie lugha kali kama bomu la maangamizi kha![]()









kwanza city angefungwa humu ndan ningekaa kwa jaman? Mbna ningesuuzwa sana. Kuwa mpoleeeeeh kwan unateseka?









yaani mnataka woote tufanane? Na tunaopedwa na wazungu je, itakuaje


umependeza



