cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,181
Sina picha mpya rafikiTupia basi ili nikamilishe kabisa...kwa usiku huu nikalale.
Woyooooooooooooooooh.Hongereni aisee![]()
Ukawa unalia tyuh shosss..tulivyofungwa cha kwanza, mashabiki wa liva walianza kutuma text za matusi na kunichamba juuu, HT watu wanapokezan kupiga
Kubwa huyu dada, jaman text zake zilikua sio za staha kwangu, yaan alinimulia haswaah, ikabidi nizime cm, na nkazima TV huku nalia, nkawa nipo kitandan tyuu naugulia maumivu.
Nimefungua cm sio mda, nakuta mashabiki wa city, wametuma text za pongezi, sikuamini nkaingia live score nakuta mambo bam bam nusu niangushe cm.
Huyu dada kesho namuonesha vizuri upande wangu, yaan naona kuchelewa hapa, khaaaah.
Ntamfahamisha km yeye kahaba mzoefu, mie malaya niliyekubuuu
![]()

😂😂🤣🤣🤣🤣Wazee wa kuzooooooomm!!Kapitwaa kweli kweli.. maana wenye x-ray tumecheki kila kitu ni 🔥🔥🔥
tulivyofungwa cha kwanza, mashabiki wa liva walianza kutuma text za matusi na kunichamba juuu, HT watu wanapokezan kupiga
Kubwa huyu dada, jaman text zake zilikua sio za staha kwangu, yaan alinimulia haswaah, ikabidi nizime cm, na nkazima TV huku nalia, nkawa nipo kitandan tyuu naugulia maumivu.
Nimefungua cm sio mda, nakuta mashabiki wa city, wametuma text za pongezi, sikuamini nkaingia live score nakuta mambo bam bam nusu niangushe cm.
Huyu dada kesho namuonesha vizuri upande wangu, yaan naona kuchelewa hapa, khaaaah.
Ntamfahamisha km yeye kahaba mzoefu, mie malaya niliyekubuuu
![]()


Lol umepitwa na vitu vyaukweeKashafuta bhanaaa.![]()
Woyooooooooooooooooh.

Hakuna kituPamoja na kuchanua lakini kishundu kimejidhihirisha Shimba Ya Buyenze atakuja kuthibitisha hapa😅
NMB wami, GM hotel, Dontown club.Nielekeze iko maeneo gani hiyo karume
Nimekaa Moro na sijawahi kufika hata kihonda
Uhuru Park 😏😆NMB wami, GM hotel, Dontown club.
Unafahamu hapo?
Wee acha kabisaaa,Ukawa unalia tyuh shosss..
Siewwww![]()




Dah..!Sina picha mpya rafiki
NMB wami napapata si ndo pembeni yake ndo soko kuu la Kingalu auNMB wami, GM hotel, Dontown club.
Unafahamu hapo?
Kha analo huyo dada![]()







yaan nipo hapa, namuwazia kesho sio kumsuuza, namuosha kabisa akitoka hapo yupo mpyaa km anazaliwa leo. Na heshima na adabu kwanguShoo na weweWee acha kabisaaa,![]()
Kwanza sijui ingekuaje. mweeeeh
Ndyoooooooooooh.Uhuru Park![]()
Ah aiseeyaan nipo hapa, namuwazia kesho sio kumsuuza, namuosha kabisa akitoka hapo yupo mpyaa km anazaliwa leo. Na heshima na adabu kwangu
