Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it



Week nzima, mie shangwe tyuuh.

Afu hawa villa na kibaraka wao wa livakuku, walidhani sisi tuna utan na ubingwa, pitisha msako wa kutaka funguo za kombe had wametoa qumamaqe.



Mashabiki wa livakuku, nawaomba hapa nna zawadi yenu.

Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah

WoyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooohView attachment 2234648
Hongereni aisee
 
Gerrard naye
Tumemtuma akafanye kazi amezembea
tulivyofungwa cha kwanza, mashabiki wa liva walianza kutuma text za matusi na kunichamba juuu, HT watu wanapokezan kupiga

Kubwa huyu dada, jaman text zake zilikua sio za staha kwangu, yaan alinimulia haswaah, ikabidi nizime cm, na nkazima TV huku nalia, nkawa nipo kitandan tyuu naugulia maumivu.

Nimefungua cm sio mda, nakuta mashabiki wa city, wametuma text za pongezi, sikuamini nkaingia live score nakuta mambo bam bam nusu niangushe cm.

Huyu dada kesho namuonesha vizuri upande wangu, yaan naona kuchelewa hapa, khaaaah.

Ntamfahamisha km yeye kahaba mzoefu, mie malaya niliyekubuuu

 
Back
Top Bottom