Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
😀😀Yaani jioni ikifika hii page itakua busy sana ni ku refresh tuuu kila sekunde😅😅😅
😀😀Yaani jioni ikifika hii page itakua busy sana ni ku refresh tuuu kila sekunde😅😅😅
Eeh basi fanya hivyo; naisubiri kwa hamuKaroho kana sita kujitundikaaa 😅😅😅 ila nimependeza nitakutumia PM
Na hakikisha unamnyanyasa haswaaaHapa sibanduki
Najiandaa kumsimulia Saint Anne
Mkuu tupia hata ukucha tu
😂😂😂😅😅😅 Mie nitabaki nitatoka mchana mchana au jioni, afande nimempa maelezo issue yangu aifanye kuwa ngumu .. pia atake hela nyingi nyingi ili mie kutoka , hiyo ela ikitoka ndio tutaenda nayo mwanza kuanzia eeeh 😅😅😅😅
Ukucha ninao hata basii 😀😀Mkuu tupia hata ukucha tu
Mkuu tafadhali ifanye jumapili ipendezeUkucha ninao hata basii 😀😀
😅😅😅 Bora alie ila mpango ukamilie .. na hela watoe kukutoa wewe iwe nilion moja na mie milion tatu ... alie gongwa kafaa ili soo ife hiyo hela itoke chap kabla hakijanukaaa .. afande kasema flesh kabisaa yeye chake laki tano tuu mission ikamilike😂😂😂
Jamani FIB atalia sana maskin ukikaa had jioni
Itabidi usikae sana huko
Kuanzia j5 niko nitakua free hadi j2 so weka ratiba yako vizuri hapo
Basi hata ulimi inatosha au mashavu 😎😎Ukucha ninao hata basii 😀😀
Hata kivuli tuu kinatoshaBasi hata ulimi inatosha au mashavu 😎😎
Kuna watu baada ya kuiona hii comment watakuwa wanavizia hapa kilaa sekunde![]()








Nimepitwaaa?Ooh kaa hapahapa
Kaka kwa kutulia dogo mama mchungaji anaweka mambo sawa yuko studioNimepitwaaa?
Wooooooowwwwwww!!!! Sasa nna amani weuweeeeeh.Marahabaaaa mjomba!Ndio nimetoka Kanisani mjomba!
😍😍 Marahabaaa toooo Shangaziii.. Nafurahi kusikia mmetoka kwenye kusanyiko la wana wa Mungu. Hakika Mungu ni MwemaMarahabaaaa mjomba!Ndio nimetoka Kanisani mjomba!
🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅 Bora alie ila mpango ukamilie .. na hela watoe kukutoa wewe iwe nilion moja na mie milion tatu ... alie gongwa kafaa ili soo ife hiyo hela itoke chap kabla hakijanukaaa .. afande kasema flesh kabisaa yeye chake laki tano tuu mission ikamilike
Mkuu tafadhali ifanye jumapili ipendeze
Hata kivuli tuu kinatosha
Mida ya live si bado jamani itabid baadae nitupie moja ya liveBasi hata ulimi inatosha au mashavu 😎😎