Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣
Daah bonge moja la idea.

Wacha nianze kunyanyuka, usichelewe tukutane huko barabarani
🤭🤭🤭 tutaonana nao kesho watajiongeza wenyewe ni watu wazima 😅😅😅😅

niongee na afande ili asubuhi waje watukute kabisa selo.. ili afande aunde mazingira mapemaaa 😅😅😅 tunaingia asubuhi hiyo hiyo kipindi wanakuja kututoa
 
🤭🤭🤭 tutaonana nao kesho watajiongeza wenyewe ni watu wazima 😅😅😅😅

niongee na afande ili asubuhi waje watukute kabisa selo.. ili afande aunde mazingira mapemaaa 😅😅😅 tunaingia asubuhi hiyo hiyo kipindi wanakuja kututoa
Ongea nae mapema aandae mazingira.

Yaani hiyo asbh wakifika nikimuona tu Big boy naangua kilio hikooo hata muda wa kuniuliza warapen hataupata😂😂
Na kesi itakua kushney
 
Ongea nae mapema aandae mazingira.

Yaani hiyo asbh wakifika nikimuona tu Big boy naangua kilio hikooo hata muda wa kuniuliza warapen hataupata😂😂
Na kesi itakua kushney
😅😅😅 Mie nitabaki nitatoka mchana mchana au jioni, afande nimempa maelezo issue yangu aifanye kuwa ngumu .. pia atake hela nyingi nyingi ili mie kutoka , hiyo ela ikitoka ndio tutaenda nayo mwanza kuanzia eeeh 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom