cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Shangazi, wee ndo wa kunihujumu mie? Sikubali.Leo nimeamka very humbleNiko happy balaa utafikir sikukuu nitawabariki full muwe mnapita pita mnaweza kubahatika
![]()
Shangazi, wee ndo wa kunihujumu mie? Sikubali.Leo nimeamka very humbleNiko happy balaa utafikir sikukuu nitawabariki full muwe mnapita pita mnaweza kubahatika
![]()
Mama malezi huyooooooh,So in everything; do to others what you would have them do to you; for this sums up the Law and the Prophets
Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabiiView attachment 2233998





Nipo Kaka mambo mengi tu!mzimaaaUpo we binti, nani amekuwa na tabia ya kukuficha hivi?
Mungu ni mwema sana, muhimu afya na uzima.Nipo Kaka mambo mengi tu!mzimaaa
jaman hapana, nlikua na kazi za home tyuuh.
Badae nitatupia leo nikiwa nimetinga suti matata na mamaa kala pigo flani hivi za ki miss independent 😎😎😎So in everything; do to others what you would have them do to you; for this sums up the Law and the Prophets
Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabiiView attachment 2233998
Pole sana rafiki
Mutu ya mizagamuo




bas nibariki wee boss ake, 





Huyu sio Gatho Beevans 🤔🤔 alie imba Azalaki AwaWachache wanamjua huyuView attachment 2234022
bas nibariki wee boss ake,
Mda sijakuona.![]()
bas nibariki wee boss ake,
Mda sijakuona.![]()
Vocha vipi boss jmn natak nicheck movie online hapaUsibanduke hapa japo mtandao unasumbua pande hii



Usubiri hadi niwe hewani ndiyo upost🤣🤣Badae nitatupia leo nikiwa nimetinga suti matata na mamaa kala pigo flani hivi za ki miss independent 😎😎😎
Ila Sasa kuitekeleza kugumu
Usijali mamaa pastaaa, tumependeza hadi tunajiogopaa .. 😀😀😀 Usichelewa sana maana leo tunaondoka tunaenda mlimani for 30 camp yaani..Usubiri hadi niwe hewani ndiyo upost🤣🤣
Yeye ni upendo, ukiishi na kutembea katika upendo basi fruits of spirit tutaziona na kama tukizona basi Mathew 7 12 mtu atasihi.. Mungu ni mwaminifu tuzidi kumuomba neema zake katika tusiyo yaweza...
Kuna buku hapa ya chap usibanduke hapa itakuboost hata mb kadhaaVocha vipi boss jmn natak nicheck movie online hapa![]()
Wee acha uongo wako, weka hapa lolUsibanduke hapa japo mtandao unasumbua pande hii