Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

So in everything; do to others what you would have them do to you; for this sums up the Law and the Prophets


Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabiiView attachment 2233998
Badae nitatupia leo nikiwa nimetinga suti matata na mamaa kala pigo flani hivi za ki miss independent 😎😎😎
 
8FFFEEDC-8313-4EE2-B922-4AAD301D334F.jpeg
 
The Golden Rule...
View attachment 2234006

Ibada njema Mama Mchungaji. Tuombee na sisi...
Yeye ni upendo, ukiishi na kutembea katika upendo basi fruits of spirit tutaziona na kama tukizona basi Mathew 7 12 mtu atasihi.. Mungu ni mwaminifu tuzidi kumuomba neema zake katika tusiyo yaweza...

Wiki yote nimekuwa naomba Mungu anipe neema ya utii, neema ya kuomba zaidi, neema ya kufunga , neema ya kujitoa kama dhabiu , neema ya unyenyekevu , neema ya kuchukia uovu, neema ya kuto kutenda dhambi, nimekuwa naomba .. maana bila yeye hatuwezi neno wala hatuwezi fanya jambo lolote
 
Back
Top Bottom