Hili ni bara zima na zipo mtu 332.4 million tu. Kuna mapori kila kona. Ukiruka juu ndo unayaona vizuri...
Mikeka yao naona wanaitunza vizuri kwa sababu nyasi zinafyekwa na mandhari inawekwa vyema hasa huko mbali na mji. Ni kukanyaga wese tu japo bei kwa sasa inatisha!
Kha watanzania wamensishinda tabia haha
Yani wanaongea wengine imekuwaje miss kawa mmakonde .. mara wanasema kuna connection gani mamiss tz wawe na komwe hahaha
πππ aaah.. salamu jambo jemaa Big Boy lazima afurahie. nasoma soma habari za Putin na Zelenskyy ... FIB katulia hapo kalala miguuni anasubiri tukapike π π π nahisi kana njaaa
πππ aaah.. salamu jambo jemaa Big Boy lazima afurahie. nasoma soma habari za Putin na Zelenskyy ... FIB katulia hapo kalala miguuni anasubiri tukapike π π π nahisi kana njaaa