Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

I’m okay…
I’m alright..
I’m shining..
I’m bobbling…
Can’t you see, what I see
When you ask me how I’m doing..
🎶 🎵
 
Naona tumguu twa bia karithi kwa rich aunt ake😍😂😂

Mwambie ntakatumia hela ya 🍕 badae
😂😂😂 weka mbali kitu ya ukoo.. inasambaa kizazi kwa kizazi


Weee usimpromise huyu chalii 😂 atakuganda uzime simu
 
Leo sijiskii vizuri, nimeona niwahi hospital for check up 😪

20220521_103757.jpg
 
Mwenzio kakusubiri adi kachoka jamani😂😂

Nenda kampikie ili akiamka unamlisha tu, katakua na njaa zaidi
😀😀😀 Akiamka anakuwa kashiba ... kana njaa za alfajiri tuu ila ikifika saa tano hakunaga anae angaika na mambo ya chakula hapo ... sasa hapa nilo out na mie nilale 😀😀😀 bado hujanipa upatde ya chimbo tufanye ku buku mapemaa
 
Siku zote adui yako muombee njaa

Hapo wangekuwa wakenya ungecheka sana + wanavyo comment nusu ngeli nusu swahili mbovu
Mimi mwenyewe nimefurahi Orlando walivyokosa ubingwa hahah .. walitushtaki sisi CAF wakaona wamefika wenyewe

Na wana kiswahili kibaya kweli ..
 
😀😀😀 Akiamka anakuwa kashiba ... kana njaa za alfajiri tuu ila ikifika saa tano hakunaga anae angaika na mambo ya chakula hapo ... sasa hapa nilo out na mie nilale 😀😀😀 bado hujanipa upatde ya chimbo tufanye ku buku mapemaa
Lala kwanza umpe kampan FIB😊

Ukiamka utakuta nishapata nimekutumia chemba tufanye booking
 
Back
Top Bottom