Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo wanaweza, hata kile kipindi Bulldozer gone, wabongo walijaa hapo page ya BBC … me nimewa compete kwa tiktok… wakenya tiktok wanatania mpaka sio vizuri

Uliposema cabin crew nikamkumbuka dada mmoja tiktok alikuwa na komwe next level…comments za wakenya ni balaa.

Ah kwa kweli tupo vizuri ..
Tanzania wengi tik tok hatuipendi maana inamaliza Mb huku insta ndo kuna mchafuko aisee na Twitter pia kule wana jambo lao .

Ah basi hao wana masihara balaa na lugha yao ile Wengine komwe walipewa extra .
 
👋
12BEF68B-136A-4F86-A512-B6CFD9DAEC4E.jpeg
 
Back
Top Bottom