Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Niko salama vp wwMorning!! Uko poa??
Niko salama vp wwMorning!! Uko poa??
Pole zake ndio umesema ni mfupi, nimeangalia picha yake pale juu ni mzuri. Kuna dada nimemuona hapo anaitwa Happy Mroso huyu ndio hata 5 bora hayupo doh nimempenda muonekano wake.Angel Alfred
Ni ud student halfu pis kali
Kapo confident kameongea English bila scratch na anatembea kwa madaha huyo
Hahaha kumbeIla wabongo hawajui kutania kama wakenya![]()
Wakenya unaweza lia
na kucomment hapo weh. Ooh wadhamini walikuwa wengi naonaKwa zawadi wamejitahidi kweli.
Karembo mabinti wenye komwe wanakuwaga bright en beautiful
Za asubuhi dada

Ulisema nikukumbushe nimekukumbusha
Unikumbushe kitu gani?Ulisema nikukumbushe nimekukumbusha
Ooh ni mfupi ndo shidaPole zake ndio umesema ni mfupi, nimeangalia picha yake pale juu ni mzuri. Kuna dada nimemuona hapo naitwa Happy Mroso huyu ndio hata 5 bora hayupo doh nimempenda muonekano wake.
OyooKarembo mabinti wenye komwe wanakuwaga bright en beautiful
Kwamba utanipa hyo menuUnikumbushe kitu gani?
Embu nitumie picha nioneOyoo
Vikomwe vizuri kwa kweli ..
Nina komwe dogo la ushikaji haha
Hiyo wanaweza, hata kile kipindi Bulldozer gone, wabongo walijaa hapo page ya BBC 🤣… me nimewa compete kwa tiktok… wakenya tiktok wanatania mpaka sio vizuriHahaha kumbe
Sema sie huku bongo tunaongoza kwenda kuvamia page za watu mfano kwenye mpira account ya CAF akipost picha ina mchezaji wa Simba ah watu wanahamia hapona kucomment hapo weh.
Nakumbuka Kama Samatta alivyotoka Aston Villa aisee nilicheka kwenye comment section full kiswahill
Wanalalamika hao tu
Amini tu ninalo MkuuEmbu nitumie picha nione
Hapana husalimiagi watu weweKwamba utanipa hyo menu
Hapana 🤣🤣 endeleeni kuringa, watu tunakula mselelelo hukuZa asubuhi dada![]()
Bac nitumie pm mbona wafanya choyo asubuh asubuhAmini tu ninalo Mkuu